Unawakumbuka ma-headmaster maarufu in 80s to 90s?

wanamuita Don King aka Shayo i remember those days akiwa arusha sec b4 hajaamia old moshi

namkumbuka shayo,wakat naingia form 1 arusha sec 2003 nae ndo akawa anahama,huyu mzee alikua mtata sana,kwa kifupi ndo headmaster pekee ambae aliweza kuidhibiti arusha sec.
 
haya asubuhi njema.... ila kama uko huko Buswelu wasalimie sana

SS mimi sipo Buswelu, as a student/teacher bali mdogo wangu anaenifata anafundisha hapo, na kule Nganza dada yangu alipita hapo miaka hiyo ya 90"s kwa sasa ni Daktari yuko Bagamoyo.
 
Mwl Mutasa,Nyakato sec school 1969 - 1975
Mwl Mushi,ilboru high school 1975 - 1979
Those days,shule zikiwa shule,walimu wakiwa walimu,hakuna cha tuition wakati huo wala wizi wa mitihani.
 
Mwalimu sharrif wa kinondoni muslim alikuwa ni zaidi ya mikosi!sina hakika kama alikuwa headmaster ila alivuma sana pale kimbweru hata kama hujasoma pale visa vyake utavisikia!!!!
 
Mwl Mutasa,Nyakato sec school 1969 - 1975
Mwl Mushi,ilboru high school 1975 - 1979
Those days,shule zikiwa shule,walimu wakiwa walimu,hakuna cha tuition wakati huo wala wizi wa mitihani.

Sanjari na hapakua na Kuku, Mayai ya broilar, hapakua na Tv, Internate n.k n.k
 
....kumbe wewe ndo unayeshikilia roaster za Ma HM pale wizaran ee??...nashukuru kufaham.
Punguzeni nyanyasa walim.


Aha ha hah haha hahah a laiti ungejua sina kumbukumbu kama nimewahi hata kuingia lile geti la wizara ya elimu... mimi huishia nje tu!!
 
namkumbuka shayo,wakat naingia form 1 arusha sec 2003 nae ndo akawa anahama,huyu mzee alikua mtata sana,kwa kifupi ndo headmaster pekee ambae aliweza kuidhibiti arusha sec.

Mh! na Rwamwasi je?
 
SS mimi sipo Buswelu, as a student/teacher bali mdogo wangu anaenifata anafundisha hapo, na kule Nganza dada yangu alipita hapo miaka hiyo ya 90"s kwa sasa ni Daktari yuko Bagamoyo.

ok, nina rafiki yangu pia anafundisha hapo pia
 
NImemkumbuka pia Mzee Mgohamwende .... MAzengo Dodoma.....
 
Mr. D. Goyayi-Mara sec sch.
Alikua hafuatilii mambo ya ada ya shule ila ikifika kipindi cha mtihani wa taifa form 2 au 4 alikua anahakikisha hufanyi mtihani. Sijui kwa sasa yuko wapi. Baada yake alikuja Mr. Philbert Nyangahondi. Masela wa mara sec mpooo?
 
Mwl Mutasa,Nyakato sec school 1969 - 1975
Mwl Mushi,ilboru high school 1975 - 1979
Those days,shule zikiwa shule,walimu wakiwa walimu,hakuna cha tuition wakati huo wala wizi wa mitihani.


kipindi hicho chief losujaki alikuwepo? ama Mzee Shirima pale Ilboru?
 
RIP Mr. P Mjale Minaki High School...mutu mufupi!
ugomvi wake ulikuwa ni kufuga ndevu!

Ukikutana naye nje ya shule haulizi permit bali anaangalia kama umevaa sare ya shule au la.

Nyumba yake imekoswakoswa kuchomwa moto mara kadhaa.
 
Leo nimekaa na kuwambuka baadhi ya Maheadmaster wa shule zetu katika miaka ya 80s, 90s na early 00s, ni wale waliokuwa katika zile shule zetu kongwe za miaka mingi, kutokana na uchache wa shule kipindi kile ilikuwa rahisi kuwajua wengi na wa shule nyingi tuuu.na wanafun

Naomba tuwataje na baadhi ya Character unazozikumbuka

  1. Mr Kwayu (Azania) huyu alipendwa sana na wanafunzi wake!
  2. Mama Mkamati (Jangwani)
  3. Mkangwa (Tosamaganga/Moro Sec) huyu mtu kwa kubadilisha suti hajambo!!
  4. Mr. Andrew Shayo (Umbwe/Arusha/Old Moshi) huyu alikuwa Bondia ukileta utani anaweza hata akakupa gloves mpigane!!
  5. Mr. Kitemangu (Ilboru)
  6. Mr. Makange (Arusha day)
  7. Mr. Vaginga J Vaginga (Ifunda) huyu alikuwa na bonge la Afro sijui alikuwa haendi Salon?
  8. Mr. Kisusange (Iyunga)
  9. Mr. Gwajimira (Kibiti) Huyu nilisikia alishatutoka!
  10. Mama Mashaka (Nganza) na huyu alishatutoka
  11. Mama Ropa (Nganza)
  12. Mr. Mbangwa (Nsumba/Tosamaganga)
  13. Mr. PB Rwamwasi (Old Moshi/Arusha sec)
  14. Mr. Malisa (Pugu)

Ongeza basi na wengine na wasifu/vituko vyao ama ongezea wasifu wa baadhi ya hao hapo juu.
15. Headmaster bukoba seco. Bagambirana huyu alikuwa noma. Alikuwa anachimba mkwara wa hatari.badae alienda karagwe seco,alikuwa anamentain discipline kwa wanafunzi na walimu. Kwa sasa ni hmaster shule ya kkkt bukoba. 16. Mrs bagambirana alikuwa h/mistress rugambwa.huyu mama alikuwa mzuri kama mmewe.kwa sasa ni h/m bweranyange girls seco. 17. Fr furtunatus bijura. Huyu alikuwa rulenge seco.miaka ya 80 shule hii ilifanya vizuri sana. Alipotoka rulenge alienda usa kusoma na ni phd holder na yuko jimbo la kayanga. 18. Bakuza wa ihungo seco. Alivyostaafu alienda kadea huko wanafunzi wakagoma na kutaka kumuua.wakti wa enz zake ihungo shule ilikuwa tishio. Kwa sasa ni marehemu
 
ugomvi wake ulikuwa ni kufuga ndevu!

Ukikutana naye nje ya shule haulizi permit bali anaangalia kama umevaa sare ya shule au la.

Nyumba yake imekoswakoswa kuchomwa moto mara kadhaa.


hiyo ilikuwa kwa maheadmaster wengi sana ... kipindi kile cha vuguvugu la fujo mashuleni
 
Back
Top Bottom