Nikikasirika nafoka sana tena sana kwa aliyenikosea .
Ila bad enough silijui wala sielewi neno msamaha ukinikosea jua nitakulipa , naendelea kujitahidi kujua kusamehe maana ilifika mahali nina mpka diary naandika walionikosea na kuandika adhabu zao ili moyo wangu uwe free .
Bahati mbaya ninapofoka uwa hasira zinaniisha hapo ila uwa sisamehei nakutafutia adhabu tu .
Mungu anisaidie tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.