Trainee
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 2,233
- 2,843
Waislamu tumefundiahwa na Mtume wetu mtu anapokuwa na hasira achukue hatua moja kati ya hizi au zote kwa kwapamoja
1.Kujikinga na shetani (yaani kusema aùdhubillaahi minash-shaytwaanir-rajiim)
2.Kunywa maji
3.Kukaa chini(kwa aliyesimama)
4.Kulala chini (kwa aliyekaa)
1.Kujikinga na shetani (yaani kusema aùdhubillaahi minash-shaytwaanir-rajiim)
2.Kunywa maji
3.Kukaa chini(kwa aliyesimama)
4.Kulala chini (kwa aliyekaa)