Unatumia mbinu gani ili hasira ziishe?

Waislamu tumefundiahwa na Mtume wetu mtu anapokuwa na hasira achukue hatua moja kati ya hizi au zote kwa kwapamoja

1.Kujikinga na shetani (yaani kusema aùdhubillaahi minash-shaytwaanir-rajiim)
2.Kunywa maji
3.Kukaa chini(kwa aliyesimama)
4.Kulala chini (kwa aliyekaa)
 
images (5).jpeg
 
Back
Top Bottom