driller
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 1,116
- 246
kweli kuna utofauti mkubwa sana kati ya tajiri na maskini dunia hiii..! manake hawa madogo hawajui hata watapata wapi chakula..! lakini hawa waarabu hata hicho chakula hawatakimaliza..! kingine kitamwagwa ila kuna watu ambao hawajui.. yani hawajui narudia tena hawajui kuwa watapata wapi chakula..! Mungu atusaidie jamani...
amen.
amen.