tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
1. Ni kutojiamini kwa wanaume au ni uzuzu na kushikiwa akili? 2. Ni kujihami kwa akina dada? 3. Hivi huwezi kumkataa mtu mpaka ugawe namba yake 4. Unajisikiaje kupigiwa simu na kukatazwa kupenda na mwanaume mwenzako? Nawasilisha!