Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,458
You are a good girl as well! look gudigud boy!!
You are a good girl as well! look gudigud boy!!
Wandugu hivi unapomuoa mwanamke ambaye amezaa/alishaolewa na mwanamume mwingine, huko mbele ya safari hukumbuki alichokuwa anakifanya KITANDANI NA MUME mwenzio na kuona umepotea!!!!
...waaala! "mla mla leo bana, mla jana kala nini?"
My wish is to have one like that. Hakuna kusumbuana.
Sasa kati ya mwanamke ambaye amekuwa na mwanamme mmoja tu maishani mwake, maana mumme wake aliyeachana naye baada ya kuwa na mtoto, na mwanamke ambaye hajaolewa wala kuzaaa lakini kashaenda chini na wanaume 200, yupi ana afadhali ?
Mwenye afahali ni huyo aliyekuwa na wanaume 200 lakini hakuolewa nao
1. Hakuwahi kuapa kuwa mwaminifu kwao
2. Hakuwa committed kwao zaidi ya kujirusha na kujipa raha, hana sababu ya kuwakumbuka
3. Anakuwa na eksipiriensi katika kungonoka, hivyo atakupa ile kitu roho inapenda kwa mastaili tofauti....haitaji training.
4.
5.
6.
Hizo nyingine ntazitaja baada ya kuamka. Babu bado yuko kitandani.
Kuna watu ninawafahamu zaidi ya watatu wameoa 'CHANGU' na maisha yao ni mazuri hujawahi kuona.. MAVI ya zamani hayanuki, Ila ukitaka yanuke, Yachokonoe.