Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,803
- 59,283
Mmh kama wewe ndo mshindi hayo mengine unatakiwa kuyapotezea.. especially sifa unazosikia juu yake!Hata usipomjua haipunguzi uhalisia!Suala sio kujiamini au wasiwasi maana ka ni hivyo angekuwa naye kwao! Mi ndo mshindi ati. Mimi nimesema kwa binafsi yangu huwa nakuwaga na kinyaa sijui wengine! Utakuta mko kwenye taasisi fulani na kila mtu anajua kuwa fulani ni wa fulani lakini naye anataka akajipime naye. Mi binafsi siwezi na sitaki kujua alokutumia!