Rutakyamilwa
JF-Expert Member
- Feb 27, 2009
- 1,872
- 1,235
Wandugu hivi unapomuoa mwanamke ambaye amezaa/alishaolewa na mwanamume mwingine, huko mbele ya safari hukumbuki alichokuwa anakifanya KITANDANI NA MUME mwenzio na kuona umepotea!!!!
na lijianaume lililoacha uko nyuma alikumbuki mkewe?Wandugu hivi unapomuoa mwanamke ambaye amezaa/alishaolewa na mwanamume mwingine, huko mbele ya safari hukumbuki alichokuwa anakifanya KITANDANI NA MUME mwenzio na kuona umepotea!!!!
watu waliowahi kuwacha na kuvamia pori lingine utawajua tu kwa majina yao...lakini mimi sijamtaja mtu hapa ila utawatambua kwa matunda yao...na lijianaume lililoacha uko nyuma alikumbuki mkewe?
we umeona mwanamke wa kukumbuka alikotoka?
i kes ya kuacha na kukumbuka nyuma aina mwanamke wala mwanamke inategemea NA MMEACHANA KWA KISA KIP
WENGINE WAKIKUMBUKA NYUMA WNATAMAN KUTAPIKA.....naishia apa naenda kupalilia kwanza nkirud mpango kamili...
watu waliowahi kuwacha na kuvamia pori lingine utawajua tu kwa majina yao...lakini mimi sijamtaja mtu hapa ila utawatambua kwa matunda yao...
paka kauficha mkia lakin sura kaiacha teh teh....sjamsema mtu apa nakumbuka tu nahau na misemo za enzi zileeeeeeeeee!!
hahaha, naomba nisiseme kitu tafadhali, nanyamaza kimyaa nisijesema vibaya. nahau zako ni nzuri lakini.paka kauficha mkia lakin sura kaiacha teh teh....sjamsema mtu apa nakumbuka tu nahau na misemo za enzi zileeeeeeeeee!!
kusema ukweli mimi huwa najua kabla ya mimi kulikuwa na mtu kama vile ambavyo mimi nilikuwa na mtu wangu. Kinachotakiwa ni wewe umeamua nini na mmekubaliana nini. Nisichokitaka ni kumjua huyo aliyeekuwa anatumia kabla ya mimi. Nikijua tu na hata uchumba unaisha! Ukweli ni kuwa huwa nakuwaga na kinyaa. Ni kwa mimi sijui wengine!
sasa kati ya mwanamke ambaye amekuwa na mwanamme mmoja tu maishani mwake, maana mumme wake aliyeachana naye baada ya kuwa na mtoto, na mwanamke ambaye hajaolewa wala kuzaaa lakini kashaenda chini na wanaume 200, yupi ana afadhali ?
kinyaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!ukikumbuka maji ya uzima ya huyo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
hahaha, naomba nisiseme kitu tafadhali, nanyamaza kimyaa nisijesema vibaya. nahau zako ni nzuri lakini.
Ukikumbuka jamaa mwenyewe mbeba mkaa paleeeeeeeeeeee halafu bahati mbaya kijasho chake unakijua! Na zaidi sifa za mguu ule watatu uasikia wanavyomsifu! daah!
Suala sio kujiamini au wasiwasi maana ka ni hivyo angekuwa naye kwao! Mi ndo mshindi ati. Mimi nimesema kwa binafsi yangu huwa nakuwaga na kinyaa sijui wengine! Utakuta mko kwenye taasisi fulani na kila mtu anajua kuwa fulani ni wa fulani lakini naye anataka akajipime naye. Mi binafsi siwezi na sitaki kujua alokutumia!WASIWASI!Kwahiyo unakua hujiamini?