ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,279
- 22,011
aiseeeeeeeeeeeeeeeeeeNi base ya jeshi La anga nchini Marekani ipo kati kati ya jangwa eneo la nevada. Ni eneo ambalo zinafanyika project za kijeshi ambazo zinahitaji usiri wa hali ya juu. Kama utengenezaji na majaribia ya silaha za maangamizi ( deadly weapons).
Sehemu hiyo ina sensor zenye uwezo wa hali ya juu hata panya au mjusi akikatisha anakuwa detected na kuangamizwa