Nakumbuka nikiwa mazengo msingi kuna dem alimtolea nje kaka angu, basi me nikamuandika barua ya kumtukana alaf nikamchora picha wana mdu. Basi yule dada akaipeleka kesi kwa walimu. Nikaitwa ofisini kwanza wakanionyesha barua nikakili kuwa ni mimi, kilichofuata ni nilitandikwa fimbo na walimu wote ofisini. Nilirudi nyumani ****** meusi yamevia damu na sikumwambia mtu na bro aliporudi nikampa stori yaliyonipata! huwa sisahau tukio hili ilikuwa 1996 nipo la sita.