Sinoni
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 5,541
- 9,164
hii ndio huitwa a white lie, chunguza kama kuna mtu mwingine wa kabila analodai yeye anayetumia jina kama lake. Ukoo wa Mungure ndio wake. ukitaka zaidi tutafunguka.
hebu funguka !
hii ndio huitwa a white lie, chunguza kama kuna mtu mwingine wa kabila analodai yeye anayetumia jina kama lake. Ukoo wa Mungure ndio wake. ukitaka zaidi tutafunguka.
Huyu jamaa wengi wanajua kuwa ni Mmasai,E.L ni Mmeru aliye asi na kukimbilia Umasaini.
Akija Arumeru na kuleta Mihela msikatae,Kuleni ila Kura ni siri yako.
E.L kweli haipendi Arumeru.Kwa kutumia pesa nyingi alifanikiwa kusafirisha Maji tika Katika Ardhi ya Wameru Mt.Meru na kuyapeleka Monduli na kuiacha Arumeru haina Maji.
Mbaya zaidi ana mpa Kampani Mkwe wake Sioy Sumari kulichukua jimbo la Arumeru,Sioy wa CCM akichukua jimbo,Arumeru hamna Bahati na Hamna chenu,Maana Monduli watakuwa na Wabunge 2 na kama unavyojua Mwanaume kwa Mkwe hasemi kitu.
E.L atamtumia Mwanae kushinikiza matakwa yake Arumeru na ninavyo njua E.L ni Bingwa wa Kuhodhi Ardhi,Ana mahekari na Mahekari huko Handeni Tanga.
Arumeru Mashariki take care.
Huyu jamaa wengi wanajua kuwa ni Mmasai,E.L ni Mmeru aliye asi na kukimbilia Umasaini.
Akija Arumeru na kuleta Mihela msikatae,Kuleni ila Kura ni siri yako.
E.L kweli haipendi Arumeru.Kwa kutumia pesa nyingi alifanikiwa kusafirisha Maji tika Katika Ardhi ya Wameru Mt.Meru na kuyapeleka Monduli na kuiacha Arumeru haina Maji.
Mbaya zaidi ana mpa Kampani Mkwe wake Sioy Sumari kulichukua jimbo la Arumeru,Sioy wa CCM akichukua jimbo,Arumeru hamna Bahati na Hamna chenu,Maana Monduli watakuwa na Wabunge 2 na kama unavyojua Mwanaume kwa Mkwe hasemi kitu.
E.L atamtumia Mwanae kushinikiza matakwa yake Arumeru na ninavyo njua E.L ni Bingwa wa Kuhodhi Ardhi,Ana mahekari na Mahekari huko Handeni Tanga.
Arumeru Mashariki take care.
acha ukabila lete hojahuyu jamaa wengi wanajua kuwa ni mmasai,e.l ni mmeru aliye asi na kukimbilia umasaini.
Akija arumeru na kuleta mihela msikatae,kuleni ila kura ni siri yako.
E.l kweli haipendi arumeru.kwa kutumia pesa nyingi alifanikiwa kusafirisha maji tika katika ardhi ya wameru mt.meru na kuyapeleka monduli na kuiacha arumeru haina maji.
Mbaya zaidi ana mpa kampani mkwe wake sioy sumari kulichukua jimbo la arumeru,sioy wa ccm akichukua jimbo,arumeru hamna bahati na hamna chenu,maana monduli watakuwa na wabunge 2 na kama unavyojua mwanaume kwa mkwe hasemi kitu.
E.l atamtumia mwanae kushinikiza matakwa yake arumeru na ninavyo njua e.l ni bingwa wa kuhodhi ardhi,ana mahekari na mahekari huko handeni tanga.
Arumeru mashariki take care.
Huyu jamaa wengi wanajua kuwa ni Mmasai,E.L ni Mmeru aliye asi na kukimbilia Umasaini.
Akija Arumeru na kuleta Mihela msikatae,Kuleni ila Kura ni siri yako.
E.L kweli haipendi Arumeru.Kwa kutumia pesa nyingi alifanikiwa kusafirisha Maji tika Katika Ardhi ya Wameru Mt.Meru na kuyapeleka Monduli na kuiacha Arumeru haina Maji.
Mbaya zaidi ana mpa Kampani Mkwe wake Sioy Sumari kulichukua jimbo la Arumeru,Sioy wa CCM akichukua jimbo,Arumeru hamna Bahati na Hamna chenu,Maana Monduli watakuwa na Wabunge 2 na kama unavyojua Mwanaume kwa Mkwe hasemi kitu.
E.L atamtumia Mwanae kushinikiza matakwa yake Arumeru na ninavyo njua E.L ni Bingwa wa Kuhodhi Ardhi,Ana mahekari na Mahekari huko Handeni Tanga.
Arumeru Mashariki take care.
Huyu jamaa wengi wanajua kuwa ni Mmasai,E.L ni Mmeru aliye asi na kukimbilia Umasaini.
Akija Arumeru na kuleta Mihela msikatae,Kuleni ila Kura ni siri yako.
E.L kweli haipendi Arumeru.Kwa kutumia pesa nyingi alifanikiwa kusafirisha Maji tika Katika Ardhi ya Wameru Mt.Meru na kuyapeleka Monduli na kuiacha Arumeru haina Maji.
Mbaya zaidi ana mpa Kampani Mkwe wake Sioy Sumari kulichukua jimbo la Arumeru,Sioy wa CCM akichukua jimbo,Arumeru hamna Bahati na Hamna chenu,Maana Monduli watakuwa na Wabunge 2 na kama unavyojua Mwanaume kwa Mkwe hasemi kitu.
E.L atamtumia Mwanae kushinikiza matakwa yake Arumeru na ninavyo njua E.L ni Bingwa wa Kuhodhi Ardhi,Ana mahekari na Mahekari huko Handeni Tanga.
Arumeru Mashariki take care.
Huyu jamaa wengi wanajua kuwa ni Mmasai,E.L ni Mmeru aliye asi na kukimbilia Umasaini.
Akija Arumeru na kuleta Mihela msikatae,Kuleni ila Kura ni siri yako.
E.L kweli haipendi Arumeru.Kwa kutumia pesa nyingi alifanikiwa kusafirisha Maji tika Katika Ardhi ya Wameru Mt.Meru na kuyapeleka Monduli na kuiacha Arumeru haina Maji.
Mbaya zaidi ana mpa Kampani Mkwe wake Sioy Sumari kulichukua jimbo la Arumeru,Sioy wa CCM akichukua jimbo,Arumeru hamna Bahati na Hamna chenu,Maana Monduli watakuwa na Wabunge 2 na kama unavyojua Mwanaume kwa Mkwe hasemi kitu.
E.L atamtumia Mwanae kushinikiza matakwa yake Arumeru na ninavyo njua E.L ni Bingwa wa Kuhodhi Ardhi,Ana mahekari na Mahekari huko Handeni Tanga.
Arumeru Mashariki take care.
Kuku wewe