Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,358
- 6,077
Awe Mmeru, mmasi, mnyakyusa, mchagga, msubi, muhindi, mimi kura yangu simpi ng'ooo! Kura yangu ni kwa mzee wa kazi tu JOHN POMBE MAGUFULI. #HapaKaziTu
...... Hujui uongeacho kaa kimya.
Kwanza Siyoi sio mgombea Arumeru wala sio mwanaaCCM, Pili Maji hayana Mpaka na sisi wameru hatukuwahi kugombania maji Na sisi Meru kila mahali tuna Maji Na mengine yanatumika Arusha Mjini na maeneo ya Kia koa Wa Kilimanjaro.
Lowassa hakuwa kukana kabila lake la Meru maana hajawahi kuulizwa kabila lake maana pia Watanzania hatuna tabia ya kuulizana Makabila yetu.
Uzi wako umejaa uchonganishi Na haukubaliki katika karne hii ya 21
Nawashangaa sn mnamjadili ukabila tn kwa mihemko bila kuzingatia mnachokijadl hakina hoja ya msingi,,,mbn MAGUFULI ni MZINZA na sio MSUKUMA na hilo tunalijua kwamba ni mwongo kuanzia ktk kabila mpk ahadi zake
vijiweni tunahabarishwa mengi. mara Ed. Lowassa na masai mara ni mmeru. wengine wanaenda mbali eti mchaga ndio maana anapigiwa debe kwa nguvu kubwa. pia wengine wanadiriki kumvusha nchi na kusema ni mkenya eti kwa sababu amewekeza sana huko. wanasema kampuni kubwa inayozalisha na kuagiza maua nchi za nje hususan uingereza ni mali yake. eti na kampuni kubwa inayotengeneza matairi na vipusa vya mpira ni yake. eti baba huyu tajiri balaa. ukweli ni upi?
Mji..nga weweAwe Mmeru, mmasi, mnyakyusa, mchagga, msubi, muhindi, mimi kura yangu simpi ng'ooo! Kura yangu ni kwa mzee wa kazi tu JOHN POMBE MAGUFULI. #HapaKaziTu
Huyu jamaa wengi wanajua kuwa ni Mmasai,E.L ni Mmeru aliye asi na kukimbilia Umasaini.
Akija Arumeru na kuleta Mihela msikatae,Kuleni ila Kura ni siri yako.
E.L kweli haipendi Arumeru.Kwa kutumia pesa nyingi alifanikiwa kusafirisha Maji tika Katika Ardhi ya Wameru Mt.Meru na kuyapeleka Monduli na kuiacha Arumeru haina Maji.
Mbaya zaidi ana mpa Kampani Mkwe wake Sioy Sumari kulichukua jimbo la Arumeru,Sioy wa CCM akichukua jimbo,Arumeru hamna Bahati na Hamna chenu,Maana Monduli watakuwa na Wabunge 2 na kama unavyojua Mwanaume kwa Mkwe hasemi kitu.
E.L atamtumia Mwanae kushinikiza matakwa yake Arumeru na ninavyo njua E.L ni Bingwa wa Kuhodhi Ardhi,Ana mahekari na Mahekari huko Handeni Tanga.
Arumeru Mashariki take care.
Lowasa out!!!!!
Muasi yule
Atatukana hata sisi watanzania