Unajiamini, unaweza.!! try me..

Vipi vijana wameingia mitini kabisa hawana sera ila mie tu nadhani nimeshinda hii game
 
Miss bantu kwahakika inaonekana wewe mrembo na mwenye sauti nyororo Kama kasuku, half Kama Jana nilikuona unatoka salon
 
Special kwa wana jf wote walio single na wachache wenye watu wao humu...

kama unajiamin wewe ni mjanja na unamistari raini ya kumtoa nyoka pangoni basi thread ndo hii.. Ni wakati wako kuntongoza live hapahapa mpaka ntakapokubali, kwa atakaekuja na mistari ya ukweli basi nafasi itakua yake.!!! am single and ready to mingle

who knows.. it can be you

Nataka ukuye mutoto yangu,,kusoko nitakwenda hemea mwenyewe,kukazi ya kitanda kinshansa,bukavu,bujimayi na kucongo kwote banafaham mie natomboka muzuri,muparis utafanya mushoping,,yan tayari umekamata moyo yangu,ukuye haraka tafadhari....
 
enhh nakuja sasa hivi, yani we nakung'oa kabla ata ujalala... ngoja npite kwa mganga wangu
 
Mwageni vyombo basi, au na humu kuna akina Timbulo??

Aaah wapi! Watu washastukia mchanga wa macho huo...
Unaweza kutumia nguvu nyiingi kumbe mtu mwenyewe shoka moja mbuyu chini, afu si unajua kuua mende kwa nyundo noumah...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom