What do you have to offer?
Una thamani ya mistari yangu?
enhh nakuja sasa hivi, yani we nakung'oa kabla ata ujalala... ngoja npite kwa mganga wangu
mmmhhh!!! masisssters wa now adays!!!
hey gal cjui umewaza ninachokiwaza and then uka r8 down i issue....! Ts seems lke our ambition are the same and never be antagonistic give me a chance youll never regret b'ce if god z th 1 who dcde 4us to be 2gether nobody can make us aparttttt! valencevictor@ymail.com
Nikisikia Miss Bantu roho yangu ina miss.
mie mwanamke mwenzio mamito, nakupeleka places ambazo wanawake twapenda.
nahakikisha u bantu wako unaonekana na kutangazwa, na hakikisha unatembelea gari
la kifahari hata kama la kuazima. nitakutafutia fundi wako spesho atakua
anakudizainia mavazi ya kibantu ya kuenda na umbile lako la kibantu.
Ukitaka mwanaume wa ukweli nakupa kirusha roho changu naona kimepost humu na hakina mistari.
samahani dada sijui nimekufananisha au?
Wala sikutaki coz unajisifia,but umenivutia kwa sababu wewe ni mwanamke!Nahitaji mwanamke why don't u try me?
unajiamini.!?