Hili linafanyika japo siyo sana siku hizi, nyakati zilizopita lilishamiri sana jambo hili na wengi walipoteza maisha au kupata maradhi ya ghafla mara tu baada ya kupokea simu na kusikia mtu akiongea maneno yasiyoeleweka.....nilipokea wagonjwa wengi pia wahanga wa jambo hilo.Hivi mtu anaweza kumroga mtu kupitia sauti za kwenye simu
Kwa maana kwamba mtu anaweza kupokea tuu simu ya mchawi huyo na kupata madhara,
Kuna mtu huwa tunamhisi mchawi mpaka simu zake hatupokei
Yanasaidia haswa kwenye shughuli za kuosha mwili na ni bora zaidi yanapochanganywa na madawa mengine maalum.Mtu mzito hivi marashi ya rose kichupa kidogo wanapochanganya kwenye maji ya kuoga hii inasaidia kwa binadamu? Mvuto? Au kuna dawa nyingine zinachanganywa kwenye maji?
Usishangae nayajuwaje haya nashuhudia yakifanyika.
Nina rafiki yangu naye ni shughuli zake hizi huwa nikienda kijijini kuna vitu huwa Ananiomba nimpelekee kwa kazi zake.
Hili linafanyika japo siyo sana siku hizi, nyakati zilizopita lilishamiri sana jambo hili na wengi walipoteza maisha au kupata maradhi ya ghafla mara tu baada ya kupokea simu na kusikia mtu akiongea maneno yasiyoeleweka.....nilipokea wagonjwa wengi pia wahanga wa jambo hilo.
Wewe ofisini kwako zipo?
Ninaposima Comments za watu wengi humu naona nikwakiasi gani watu wengi hakuna kitu wanajua....Endeleeni kuleta ILMI huenda watu wengi wakanufaikaSi wanasayansi, wachawi wala kundi lolote lenye uwezo wa kuzuia kifo bali Mungu mwenyewe.
Nafsi au NYOTA yako imefungwa hapo!Kwa nini naota nikiwa nyumba ya zamani na mazingira yake
Ni maandalizi ya kitu flan kwenye Maisha ikiwa unaamini MUNGU kama unaipenda kaitolee Sadaka hiyo ndoto pia uwe unaiombea itimieMm nlishamaliza kusoma ila huwa ninaota sana nipo shuleni, nlianza kuota niko primary tunafanya mitihani mm sikua nimesoma hesabu nkawa nababaika kufundishwa ili nkafanye mtihani, siku nyingine nkaota nipo sekondary tena na juzi nimeota niko chuo je hizi ndoto zna maana yoyote? Natanguliza shukrani
Naomba msaada WA maswali yafuatayo
1. Waweza kututajia sifa 5 za mganga WA kweli Na mwenye daraja ya juu , maana kuna matapeli wamevamia fani.
2. Je yawezekana mtu WA familia moja kuulizia matatizo yanayoisibu familia/ ndugu zake wote kwa waalim ili ajue namna ya kuwatafutia ufumbuzi
Ulaya mfano Italy..wanatibu live kwenye tv...unapiga sim kufanyiwa unachotaka..ahahaa unatumiwa clip you tube
Haya ni mambo ya imani tu na hutofautiana baina ya mtu na mtu juu ya maana yake, ila kwa ujumla husimama katika maana kuu mbili.....kuashiria jambo la kheri au matatizo.Mtu mzito,,jicho kucheza cheza....laweza kuwa la kulia au kushoto...wakati mwingine unaweza ukute sehem ya mguu inachezaza....Hii ina maana gani?