Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

Status
Not open for further replies.
Mtu mzito kuna waganga wanawatoa watu majini au wenyewe wanaita dudu na wanadai wanaua katika ulimwengu Wa roho swali linakuja ni wanauajeuaje kimazingala hao majini kolofi
 
Na je mtu mzito jini akifa kiwiliwili chake kinaenda wapi au kinazagaa ?
Na ufarme Wa majini autolipiza kisasi?
 
Mtu mzito kuna waganga wanawatoa watu majini au wenyewe wanaita dudu na wanadai wanaua katika ulimwengu Wa roho swali linakuja ni wanauajeuaje kimazingala hao majini kolofi
Katika vitu vinavyotesa watu duniani ni majini na hili si masihara, unaweza kwenda hospital ukakuta karibu nusu ya wagonjwa wanateswa na majini na hii ndiyo sababu ya ndugu zetu wengi viongozi wa kidini kupambana na hili katika dua ama maombi.

Katika falme za kiganga jambo hili hutambulika vema kabisa na zipo njia nyingi hutumika kama vile kuwatoa, kuwaangamiza au hata kuwarudisha walipotoka.

Kuhusu kuwaangamiza wanaangamizwa ki nguvu za giza kupitia madawa au hata majini wenzao.
 
Na jini mbaya anaweza kuongopa yeye mzuri katika kiti bira kugundulika mbaya kwa kiti?
Jini akiwa mbaya siku zote anataka kutimiza adhma yake aliyotumwa na ili alifanikishe hili, kuna muda hujifanya ni mwema ili asipigwe vita aendelee kutesa mtu, kwa bahati mbaya wengine huzidi kuwapa vitu mfano pete, shuka, mavazi nk bila kujua kuwa wanatawalisha nyoka.
 
1476965619238.jpg
Ajali ya anga.....Mtu mzito unalizungumziaje tukio hili.
 
Hivi Mtumzito kuna aina ngapi za Pete? Maana naskia kuna Pete za nyota, Pete za majini na Pete za kimalaika je hili limekaaje?
Wewe unazo hizo Pete ofisini kwako endapo mtu atahitaji?
 
Hivi Mtumzito kuna aina ngapi za Pete? Maana naskia kuna Pete za nyota, Pete za majini na Pete za kimalaika je hili limekaaje?
Wewe unazo hizo Pete ofisini kwako endapo mtu atahitaji?
Pete zipo za aina nyingi sana na hizi ni baadhi; pete za bahati (Immo ring), pete za kinga, pete za umaarufu, pete za ukubwa, pete za majini nk.

Utaratibu wa mambo haya upo na unatumika sana japo sio wote wenye kuelewa.
 
View attachment 421428Ajali ya anga.....Mtu mzito unalizungumziaje tukio hili.
Ni ajali kama ajali nyingine japo hii ilichochewa zaidi na mazindiko au nguvu kubwa kutokea ardhini hali iliyopelekea kuyumba na kuanguka.

Hata hivyo misafara ya namna hii huwa si ya mtu mmoja bali kuongozana, hivyo uzembe pia ulitumika pale wenzake waliposhindwa kufanya jitihada za mara moja.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom