Una housegirl?

  1. ...akamkuta housegirl kalala chali kachanua uchi wa mnyama, na wakati huo huo mwanae mtoto wa mwaka mmoja akiwa bussy akimnyonya housegirl sehemu za siri...
Mtoto wa mwaka mmoja... kuwa busy katika jambo hili, anaweza kweli?
 
Mtoto wa mwaka mmoja... kuwa busy katika jambo hili, anaweza kweli?

..........Hata mie nashangaa na haingii akili mwangu kwamba mtoto wa mwaka mmoja kafanyishwa hichi kitendo.
Kama ni kweli basi ni hatari sana hivi sasa hawa wasaidizi wa majumbani.
 
..........Hata mie nashangaa na haingii akili mwangu kwamba mtoto wa mwaka mmoja kafanyishwa hichi kitendo.
Kama ni kweli basi ni hatari sana hivi sasa hawa wasaidizi wa majumbani.

...zamani, wazee wetu walikuwa wanachagua makabila ya kuwaajiri kama wasaidizi wa nyumbani. Wenyeji toka mkoani Iringa, hasa wahehe walikuwa wanashika nambari moja kwa uaminifu, kama wamakonde walivyoaminiwa kwa Ulinzi.

Wosia wa Mzee Mkapa baada ya kifo cha mama Daraja ufanyiwe kazi. Wafanyiwe vetting na kuwe na police records, zikiwemo hizi child abuse.
 
Hawa mahousegirl kwakweli tunahitaji kuomba Mungu tu kwa ajili ya usalama wa watoto wetu.

Kuna story ya kweli kabisa imetokea huko Songea ambapo familia moja ilishangaa kuona mtoto wao wa kiume ambaye alikuwa ndiyo yupo darasa la tatu tu akiumwa mara kwa mara, baadaye daktari akashauri mtoto apime UKIMWI, wazazi wakagoma, kwamba mtoto wa miaka 9 tu angeutoa wapi?

Daktari aliona dalili zote akaamua kuwaelimisha wazazi, baada ya kupima hawakuamini macho yao. Wakajua ni wao walikuwa nao ndo wamemwambukiza mtoto. Wakaamua kumpima na mtoto mdogo wa miaka sita wakakuta naye anao. Basi wakajua na wao si wazima. Wakaamua kupima, kuja kushangaa wao hawana.

Ndipo ikabidi wambane yule mtoto mkubwa aseme ni nini kilikuwa kinaendelea. Kuja kushangaa kwamba housegirl wao alikuwa anawabaka kwa zamu watoto wote wawili. Na kwa wakati huo huyo housegirl alikuwa ameshaacha kazi. Walipofuatilia wakajua kwamba tayari alishafariki. Lakini na familia ina watoto wawili wakiume pekee (kwa sababu walishasimama kuzaa) wakiwa ni HIV positive.

Hawa mahousegirl kwakweli si wa kuwaachia watoto kiasi hicho, na hasa hawa watoto wa kiume.
Dah, sijui kwanini nimesoma post hii...!
 
Matajiri wengi wana wabana sana wasaidizi wao wa ndani, inabidi mbadilike, je angemkuta na baba watoto, si angekufa?
 
Duh,hii ni balaa...sasa kumbe hata mtoto anaweza jikuta analelewa katika mazingira hatarishi kisaikolojia hivyo?
 
Dah, sijui kwanini nimesoma post hii...!

MKUBWA, usishtuke kwa hili. Hakika wenye familia (watoto) ambao muda mwingi twawacha peke yao au na wasichana wa kazi au ndugu twahitaji sana kubadili mfumo wetu.

Sina shaka wapo wale wanaokumbuka historia ya yule msichana wa ndani wa kinyalu alieamua "kumbanika mtoto" kisa mama hakutaka kumlipa mshahara wake" (wewe kama baba ndio unatoa hela za kulipwa msichana wa kazi, ni muda gani unachunguza kama kalipwa??)..

Kuna pia kisa cha msichana wa kazi kuambukiza watoto wa mwenye nyumba kwa kutumia vijiti wa kuchokonolea meno (vimbata). Hii ilitokana na binti kutopata mafunzo, alianza kuhudumia familia asijue anatumiaje hivyo vimbata, akiwa akitumia anavirudishia kwenye kibweta chake....siku moja watoto watatu wa familia ambao waliugua kwa muda walipopimwa wakakutwa wapo "postive" (HIV). Msichana wa kazi alipoulizwa kuhusu huduma za afya akadai kila kitu safi, akitumia vimbata "hatupi mbali, isipokuwa naavifuta na kitambaa cha jikoni na kurudishia kwenye kibweta chake".....

Ipo pia habari ya mdogo wa baba mwenye nyumba ambae alikuwa mwathirikawa UKIMWI toka kijijini, kaka mtu akakubali kumsaidia kwa kumlea ndani ya nyumba yake ambayo kulikua na watoto wadogo maskini, mama na baba walikuwa bize na kazi,hakuwa makini kwa watoto.

Mgonjwa hakuwahi kuelezwa anachoumwa na jinsi gani anapaswa kuishi na jamii ya wale ambao hawaumwi. Akiwa pia amekata tamaa, kila akitumia mswaki wake na watoto wakimwomba "baba mdogo tupe" anawapa, siku ya siku watoto wote wakawa wameambukizwa.....

Ipo filamu fulani ambayo inaonyesha maisha ya familia za wasomi, baba bize na mama bize kweli na kazi za kimataifa, lakini baada ya muda fulani Hausi geli ndo anakuwa kama mama na baba anapanga matumizi yote ya nyumba nk nk, ndie anawaelekeza watoto kila kitu . Watoto wanaanza kumheshimu "dada" kuliko wazazi, baba na mama wanapokuja kushtuka watoto wameharibika, wawili HIV postive, mmoja ni Changu wa kutupwa!...kumbe "dada" alikwisha kuwa changu muda mrefu, amefundisha watoto yoteeee...
 
what? scary stuff!!! God forbid!! sasa tuache kazi tulee watoto ama?
 
Mayaya wengine ni sababu ya vivulana kuwa mashoga baadae kwani wakati wa kuwaogesha na kuwatawaza huvichomekea vidole sehem nyeti
 
Dah kidume cha mwaka mmoja kimesha jua kuzama chumvini vilivyo . Sio ma huse girls tuu, pia wanao weka ma house boys , Vijana wengi wakiume wamepoteza bikra zao kwa ma haus geli , najiuliza kw asasa je vijana wanao balehe na ndani kuna demu katoka kijijini je watanusurikaje na Ukimwi?


KUna kisa kingine cha ukimwi nilisikia kwenye radio hicho kina iskitisha na kutisha sana , nikajiuliza utaepukaje kitu kama hiki? kilikua kama hivi

Mama mmoja ambaye ameolewa na kujaaliwa kupata watoto wata ,wakiwa kwenye maisha mazuri ya ndoa na majirani, kipato chao kizuri kiasi cha kuonekana wao tofauti mtaani kwao.

Watoto wao walikua na range ya miaka 12 ,9,6,3 na 1, walio na afya njema , mara chache huw awan sumbuliwa na maralia ikawa ina bidi kupelekwa hospitali na kuandikiwa sindano za masaa.
Siku hazikupita nyingi yule mtoto mdogo wa mwisho ambaye alikua na mwaka mmoja ,akaanza kuugua magonjwa yanao husiana na ukosefu wa kinga, wakajaribu kila njia vipimo vyote lakini mtoto akazidi kuugua na kufariki.

Baada ya kuzika tu wamekaa muda mfupi mtoto wa nne kuzaliwa ambaye ana miaka mitatu , naye akaaanza kuumbulia na ugonjwa kama ule ule ulio muua mdogo wake, wakaangaika vipimo lakini wapi mtoto akafariki,

Haikupita tena muda baada ya kuzika mtoto wa tatu , ambaye ana mika 9 naye akanza kuugua vile vile na kuwashangaza wazazi , ndipo yule mama akashauriwa kwenda kwa mganga labda karogwa, kupiigiwa ramli kaambiwa karogwa , tiba za asili na yote wameendelea hakuna nafuu mtoto bado mgonjwa.
Ndipo wakashauriwa wampime mtoto HIV, kitu ambacho kiliwashangaza pale majibu yallipo kuja, wakakuta ni kwamba mtoto kaathirka.

Ugomvi mkubw aukatokea na kuleta mgogoro mkubwa kwani kila mmoja akimtuhumu lmwenzake kwamba ndio kaletta ukimwi nyumbani mbaka watoto wameambukizwa, ikashauriwa fammilia nzima ipimwe, Yani baba , mama, nawatoto walio salia. Majibu yalipo rudi wote wakakutwa ni hawaja athirika ni wazima wenye afya , swali likaja je hawa watoto wamepataje Ukimwi?.
Muda ukafika yule mtoto akafariki na kuleta majonzi makubwa , na kuacha maswali mengi inakuaje watoto walio chini ya umri wa maiaka 10 wawe na ukimwi bila ya kuzaliwa nao nini haswa?
Siku zikapita ,bila tatizo lolote la Afya ,mbaka siku moja, huyu mama alipo rudi kazini jioni na kuambiwa unaombwa uende kwa jirani yako ambaye ni nesi ambaye ni mgonjwaa taabani, naye akaitikia wito kwenda kwa yule jirani ambaye ni rafiki yake na wanasaidia na mambo mengi ya kijamii.
Kufika hapo kama kawaida ni alikua mgonjwa sana na alimkuta Mchungaji wa kilokole hapo.

Nesi alipo muona ,huyu mama anakuja , akaanza kulia sana na kumwambia kwamba yeye ana kufa ila kuna dhambi mbaya anataka atubu mbele yake kwani kamtendea jambo baya sana , yule mama akawa ana shangaa jambo gani hilo litakua , ndipo yule nesi akaanza kwa kusema kusema "naomba msamaha mkubw akwako na kwa Mungu, kwani yeye ndio sababu ya watoto wa huyu mama kufa kwa Ukimwi" akaulziwa kivipi mbaka yeye awe sababu, akasema" Siku ambazo wale watoto wakiumwa maralia ana kaundikiwa dozi ya sindano, yeye ali muomba huyu mama kua awachomee nyumbani kwake sababu ya kupunguza safari za kwenda hospitali usiku ,sasa wakati kabla hajawachoma alijijua kathirika ndipo alipo amua kujichoma yeye sindano , halafu kuwachoma watoto akijua kua ana wambukiza virusi"
Yule mama kusikia hivyo , alizimia, alijikuta yuko hospitali .

Sikujua iliishaje, mana nilikau kwenye gari nakwena kwnye meeting so sikuweza kukaa kuimaliiza ila ili nisikitisha sana.
 
Holy Crap... thats an animal... I could have committed a murder there.... I donno what would have been my reaction... this girl should go to jail for sexually molesting the baby... If I decide to be a mother I will take a break from my work for at least 2 yrs and be there for my baby... putting my career on hold is the reason why I am delaying the whole baby thing..
Naam hii ndo hali halisi,,,,, Mama mmoja huko Moshi amehukumiwa miaka 7 na kulipa fidia ya shs milioni moja kwa kumshawishi na hatimaye kufanya mapenzi na kijana wa miaka 15. Mama huyo anao watoto watatu na mme. Hii ndo dunia tunayoishi kwa sasa. Ukishangaa ya Musa utayaona ya firauni. Hili jimama lilikuwa linamwita haka katoto honey, mpenzi au sweetie?
 
Mtoto wa mwaka mmoja... kuwa busy katika jambo hili, anaweza kweli?

Mkuu MN,

Tunashare the same thinking hapa..iweje mtoto wa mwaka mmoja na miezi aweze kufanya hii kitu tena sustainably?

Kwa kweli hata mimi napigwa na butwaa hapa.
Mtoto wa mwaka mmoja anyonye ile kitu?
Najaribu kutafakari katikati ya mistari. Mwaka mmoja? Anautoa ulimi wake kabisa halafu anaingia uvinza?

Mtoto wa mwaka mmoja si bado ananyonya? Vipi huo ugonjwa haukuambukizwa kwenye ziwa la mama?

Ngoja niendelee kutafakari kwa muda. Ila kwa kweli kwangu mimi naona ni kama haiwezekani. Haiwezekani kabisa!
 
mi naona poa tu kwanin nini?mwacha ampe dogo utamu angali bado mdogo akikuwa atakuwa GURU wa sekta hiyo
 
Back
Top Bottom