Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
- Thread starter
- #21
Kuna mapanga yanauzwa pale ubungo, yanauwezo mkubwa kiasi cha kuweza kutumika kukata kucha. Kanunue halafu nitakushauri cha kufanya!
Dah,we mkali elia!
Kwa kabira letu bira kua na panga basi wewe sio mwanaume,..
ninalo tayari,tatizo halija tumika kwa lolote mda mrefu kweli!
So,nifanyeje?