a haUna fanyaje pale mtu anapo tangaza ndoa kua anataka kumuoa mke wako
Na wewe bado upo hai na unaishi nae ,
tena mna pendana kweli!
Naomba ushuri ili nijue cha kufanya!
Bad thing ni kwamba wote,mke wangu na huyo mwizi ni wana JF!
Mnapendana au wewe ndiye unayempenda? Huyo mposaji kaja mwenyewe au kamtuma mshenga? Nafikiri hiyo kitu haiwezi kutokeaUna fanyaje pale mtu anapo tangaza ndoa kua anataka kumuoa mke wako
Na wewe bado upo hai na unaishi nae ,
tena mna pendana kweli!
Naomba ushuri ili nijue cha kufanya!
Bad thing ni kwamba wote,mke wangu na huyo mwizi ni wana JF!
hebu vua headphones tuelewane vizuri,halafu si ulidai una utaalamu wa kusikiliza simu na kusoma sms za mwenza wako ? mbona huitumii mwenyewe kujua ukweli hapa ?Una fanyaje pale mtu anapo tangaza ndoa kua anataka kumuoa mke wako
Na wewe bado upo hai na unaishi nae ,
tena mna pendana kweli!
Naomba ushuri ili nijue cha kufanya!
Bad thing ni kwamba wote,mke wangu na huyo mwizi ni wana JF!
hebu vua headphones tuelewane vizuri,halafu si ulidai una utaalamu wa kusikiliza simu na kusoma sms za mwenza wako ? mbona huitumii mwenyewe kujua ukweli hapa ?
Una fanyaje pale mtu anapo tangaza ndoa kua anataka kumuoa mke wako
Na wewe bado upo hai na unaishi nae ,
tena mna pendana kweli!
Naomba ushuri ili nijue cha kufanya!
Bad thing ni kwamba wote,mke wangu na huyo mwizi ni wana JF!
weeee,bila mziki kazi haiendi kabisa,much less maongezi
utaalamu umetumika sana tu,ila jamaa hana lolote zaidi ya kumdhalilisha mke wangu
kwenye jamii,nimfanyeje?
Nani nyani,nani ngedere?kesi ya ngedere kula mahindi unampa nyani awe hakimu? imekula kwako bro
naona unatapatapa tapa siku hizi,wewe huna mwanamke na wala hujaoa