Umuhimu wa Kiarabu kuwa lugha Rasmi Tanzania

Ni Subsaharan.

Raptha ni City iliyokuwa na connection na Greeco-Roman na ipo kwenye Roman Map ya Ptolemy. Ni mji kabla ya Arabs. Na ushahidi kuwa Eastern Africa ilikwepo na power kubwa kabla ya kuja kwa Arabs na ndio utetezi wa kupinga Kuwa Azani was developed by Arabs.

d5a23071c3b264cbbf77940f102ab594.jpg


8f025550cdefebce1ee9803d77159ef0.jpg


c99cc71d1a8ed0dd8db6fa7337ee3c7d.jpg


57d325373a50f69aa0cdf929f9d460bb.jpg


Naweka sources kwa sababu nina imani ninajadiliana na mtu mwenye hekima.
Mi nakuunga mkono upo vizuri
 
kila taifa duniani kuna maelfu ya watu wanAozungumza kiarabu,hivyo ni lugha muhimum
Natoa wazo. Kwanini tusiwatumie waislam ambao huanza kujifunza kiarabu tangu miaka mitano au kabla kule Madrasa. Si huwa naona vitabu vyao vimeandikwa kiarabu? Kuna haja ya kujifunza tena shule wakati kila kijiji kina madrasa. Kama wanaweza kukiimba, kukisoma basi waje wafundishe wenzao madarasani kama Elimu ya ziada.
 
Hasbuna Allahu wa neiema L'wakil.

Nyundo ya namba 124 imekuingia kisawasawa mpaka unahororoja na kubwabwaja bila mpango.

Ukiona mwanamme anajidai mbele ya halaiki ujuwe huyo hafai, pengine mtungi kupanda ni shida.
Sasa baby mbona kama unatest moto wa makaa ya mawe na kidole.........kwanini usije basi tuangalie hicho unachosema kama ni kweli.........ila tu ujue ukija haina kuondoka huwa sipigi voda fasta huwa natupia usiku kucha.....na asubuhi hapo kuamka ni saa nne au saa sita....
 
Na'3am yaa akhi L karim, kalamak mumtaz wa fa3lan sahih.... in-shaa-allah mafi mashakil... kulaha kheyr !! Labud nitwasal biLughatnna al-3arabiya bilKamaeel wa bidun khouf !!
MashaAllah lahjatak al-3arabiya jameel wa tayib katheer !! Ahssana Allahu ileyk,,,:D
mashallah!!!

jamiyl jiddah!
Hadhih laisat lughatina asliy kasawahil au ingliz, wa lakin hadhih lughat muhim jidan: tijariah, iqtiswadiah wa siyasiyah aidwan. Faman la yuhibuhat alaihi mashakil kathir.
 
Huo ndiyo ujinga uliojazwa.

Waarabu Afrika hawakuja. Hilo neno Afrika lenyewe ni Kiarabu, for your information.

Uarabu si taifa, si nchi, si eneo, si rangi, ni lugha tu.

Lugha ya kwanza Afrika ni ipi?
Unajua hawa wachangiaji wananisihi nikutulize huku inbox.....maana wewe ni shemeji yao..........sasa sio vizuri hizo fujo unazofanya na majibu unayowapa.......sasa kama vipi utulie basi.........
 
Ikija kwenye mambo ya uwekezaji bora tujifunze Ki China. Anyway tunatakiwa kuwa na curriculum inayowaruhusu watoto mashuleni kujifunza lugha mbali mbali.
Kifaransa, Kigermani, Kiitaliano Kiarabu , Kijapan etc.

Muhimu kabisa waweke mkazo kwenye English.
Tutake tusitake dunia ya leo ni ngumu Kama hujui English.

Sio lazima kuwe na darasa wanafunzi wanaweza kufanyanya hayo masomo "through correspondence ".
zambia kichina kipo kwenye mtaala wao na kipo chuo kikuu wanafundisha kichina
 
Ni kweli mkuu, nilikuwa Cairo na niliweza kupata mahitaji yangu dukani kwa kuongea Kiswahili na wenyeji kuongea Kiarabu, maneno mengi yanaingiliana. Lakini si vibaya kuweka Kiarabu kama somo mashuleni kwa watakaopenda kama vile ilivyo Kifaransa.
Nadhani kina shule ina uhuru wa kuamua ifundishe lugha gani zaidi ya zile za compulsary. Hata ikiamua kufundisha kiajemi ni ruksa mradi wawepo wenye interest ya hiyo lugha. Na zaidi kiarabu kinafundishwa kwenye baadhi ya shule, hasa zile za kiislam!
 
Unajua hawa wachangiaji wananisihi nikutulize huku inbox.....maana wewe ni shemeji yao..........sasa sio vizuri hizo fujo unazofanya na majibu unayowapa.......sasa kama vipi utulie basi.........

Nimekueleza juu huko, ukiona mwanamme anajidai kuwa ni mwanamme sana mbele za watu ujuwe huyo ana kasoro, nnauhakika kama wewe ni mwanamme basi una kasoro kubwa, usije ukawa mtoto si rizki tu.
 
Lugha za kimataifa kama Kiingereza, Kifaransa, kichina na kiarabu ni muhimu kwa mustakabali wa dunia.
 
Sasa baby mbona kama unatest moto wa makaa ya mawe na kidole.........kwanini usije basi tuangalie hicho unachosema kama ni kweli.........ila tu ujue ukija haina kuondoka huwa sipigi voda fasta huwa natupia usiku kucha.....na asubuhi hapo kuamka ni saa nne au saa sita....


Mwanamme wa kweli hutamuona akisema upuuzi huo mbele ya halaiki, nna mashaka sana kuwa wewe ni mtoto si rizki.
 
Ni kweli mkuu, nilikuwa Cairo na niliweza kupata mahitaji yangu dukani kwa kuongea Kiswahili na wenyeji kuongea Kiarabu, maneno mengi yanaingiliana. Lakini si vibaya kuweka Kiarabu kama somo mashuleni kwa watakaopenda kama vile ilivyo Kifaransa.
Labda kiarabu cha Egypt! Pia kiko tofauti kidogo na cha Gulf countries , nipo Oman hapa hamna anayekuelewa ukiongea Kiswahili! Labda ukutane na Wa Oman wenye asili ya Tanzania! Sema Kiswahili na Kiarabu kina share baadhi ya maneno.
 
Labda kiarabu cha Egypt! Pia kiko tofauti kidogo na cha Gulf countries , nipo Oman hapa hamna anayekuelewa ukiongea Kiswahili! Labda ukutane na Wa Oman wenye asili ya Tanzania! Sema Kiswahili na Kiarabu kina share baadhi ya maneno.
Kwani nilisema niliongea fluently? Nilisema niliweza kupata mahitaji yangu dukani, sasa kama ni supermarket unatia vitu kwenye kikapu unakwenda kwa cashier anakwambia sabaa.... si unaunga mwenyewe.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kiarabu ushuzi mtupu lugha yenyewe ya kimaskini tu hatuchekani angalia mikoa waliuokaa hao waarabu na dini yao walivyo mafukara mpaka kwenye ukucha mufilisi.

Kwanza uarabuni wanajifunza lugha za wazungu maneno ya kisayansi na technology kwa Kiarabu ni sawa na kutafuta neno Computer kwa kisukuma ni nzuri kwa kujifunzia namna ya kujitoa muhanga na kuchinja watu bullshit language
 
Do you know about ancient EGYPTIAN CIVILIZATION or NILE VALLEY CIVILIZATION kabla ya kuja kwa hao waarabu wako Afrika na Misri ya leo?

Je mafarao walikua waarabu????????
Asante Pharaoh na ancient Egypt ilikua ni Africans tupu watu weusi ulikua ni mfumo nzima wa mweusi mmatumbi mpaka leo wapo kule Somalia na masalia yao painting na artifacts nyingi zinamuonesha Pharaoh walikua weusi waafrika

Lakini haya masheeetaaania maarabu na mizungu baathi yamepotosha history ya Negroes yamechukua our golden history na kujifanya wao hata siku moja muarabu hakuwahi kuwa na urafiki na muafrika yametuibia ardhi yetu yamewahasi mababu zetu wamewachukua mababu zetu utumwani masheeetaaania kabisa maarabu na wazungu wao mlaaniwe milele
 
Back
Top Bottom