anti-fisadi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 368
- 31
JILE 79 ,, Unachotaka kushangaaa wee nini! lini umeanza kusifia waislam eti oooo "nilitaka kushangaa kuwa waislam ...." kuwa waislam nini? niniiiiiiiiiii ? We huwezi sema viongoz wa kiislam wanaropoka wewe kama nani? hueleweki mara unanawasifu... unajua lakin kawaida ya wenye kuhangaika mara waislamha hawajasoma wanywa kahawa mara leo umewasifu! hatuyumbishwi ,Hatuitaj kusifiwa nawewe wala na waiman yako hata kama we Jile 79 utakuwa ni Bohora ua utakua ni BUdha faham sisi waislam na wajinga wa suplimentary na kujiita umesoma!! tena me nakutaka kama umesoma wewe post transcropt kayo hapa na vyweti na mi kama muislam unaeniita mnywakahawa niweke zangu (Am sory huenda pia hiyo transcript ikawa msamiati ) ila jua waislam hatuitaj kafiri yoyute kujipendekeza kwa kutusifia wala kuongea ongea ili kumuona mwema!! kama mliamua kutu dis we endelea tu!! hatuitaj utu premodify kinafki
Naona umeamua kujitoa akili, hebu sema kama wewe ni msemaji wa waislamu? maana hatukutambui, nadhani ingekuwa vyema ungeongea kama wewe 'msimamo mkali' na si vinginevyo.
Nawapongeza waislamu wote walioungana na Sheikh Yasin Bahama kupinga mashambulizi ya kidini kwa vyama vya upinzani. Taifa letu Tanzania mbele jamani.