Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,542
- 93,151
Hapa hujamtendea haki, hakuna kijana yeyote ndani ya CCM mwenye uwezo wa kujibu hizi hoja zako unless aongee propaganda tu.The best way to document your plans is by creating an agenda.Do you have any agenda concerning Youths?
-Iko wapi ajenda ya Baraza huru la Vijana la Taifa?
-Iko wapi ajenda ya wamachinga na vijana wa mitaani?
-Ni upi msimamo wenu juu ya ukuaji wa deni la taifa ambalo vijana wa sasa na baadae ndiyo watakaobeba mzigo huo?
-Ni nini msimamo wenu kuhisu sera ya elimu ya juu?
-Vipi msimamo wa hao majemedari wenu juu ya tatizo la mimba katika umri mdogo na demand ya reform katika sekta ya afya na social welfare?
Acheni kuwatumikia wazee wenu walioshindwa kwa tamaa zenu binafsi,mnatutia aibu!