Mwenyekiti Kikwete kaishindwa rushwa kabaki analalamika. Mukana anatetea. Nepi kauchuna, wastaafu akina Ben na Rukhsa wamechimbia vichwa vyao chini ya mchanga kama mbuni. Nyie vifisadi vidogo vidogo mtafanya nini? Six(sita) kachoka, ole sendeka, Kilango wapambanaji zuga hata sauti hazitoki, katafuteni wajinga wenzenu wa kuwadanganya, HATUDANGANYIKI