- Thread starter
- #41
Hakuna M2 wa kukimbia hapa kinachoenekana ni wanaChadema kupagawa na vuguvugu jipya la mabadiliko ndani ya CCM mpya na halisiWameanzisha thread na kupotea.Kama katibu mwenezi wao.
Kweli ndiyo maana huwa wanakimbia midahalo
Hakuna M2 wa kukimbia hapa kinachoenekana ni wanaChadema kupagawa na vuguvugu jipya la mabadiliko ndani ya CCM mpya na halisiWameanzisha thread na kupotea.Kama katibu mwenezi wao.
Kweli ndiyo maana huwa wanakimbia midahalo
Hawa majeruhi wa Uchaguzi wanatapatapa tu hapa hakuna jipya. ombeni ajila kwenye vituo vya Mafuta vya Prince Ridhiwani, Lowasa ndio CCM na CCM ni Lowasa. Pelekeni njaa zenu mbele huko hapa mnatujazia server bure.
wakulima na wafanyakazi ndo mkakati wa vuguvugu la mabadiliko ndani ya chama. Kumbuka hiki sio chama kipya ila ni mabadiliko yanafanywa na majemedari kukitoa chama utumwani na mikononi mwa mafisadi*Mleta mada embu taja majina ya hao majemedari,
*Pia tuambie nani ni Mwenyekiti, Kaimu mwenyekiti, Katibu, Mweka hazina nk.
*Mwisho mtueleze chanzo cha mapato au ruzuku ya kuendeshea hizo harakati zenu.
Hakuna M2 wa kukimbia hapa kinachoenekana ni wanaChadema kupagawa na vuguvugu jipya la mabadiliko ndani ya CCM mpya na halisi
Mwenyekiti ni kijana Wiliam Malecela*Mleta mada embu taja majina ya hao majemedari,
*Pia tuambie nani ni Mwenyekiti, Kaimu mwenyekiti, Katibu, Mweka hazina nk.
*Mwisho mtueleze chanzo cha mapato au ruzuku ya kuendeshea hizo harakati zenu.
Umoja mpya wa vijana CCM unaungwa mkono na wazee wazalendo katika chama na unabaraka zote za kuifanya CCM halisi kama ilivyokuwa enzi ya TANU. kamwe haturudi nyuma na hatuta hama chama kujiunga na matapeli chadema dira na madhumuni yetu ni kuangusha nguzo mbili hatari kwa Watanzania nazo ni CCM mafisadi na Chadema Matapeli/wezi wamfukoni. Sasa ni wasaa wa Mtanzania kujivunia uhalisi wa CCM na amani ya nchi yakeUkiwaona wanatoa mapovu kwenye TV unaweza ukadhani ni wapambanaji kweli.Vijana hawa walishindwa mnada na hao walioshinda ni maadui wakubwa wa vijana
-umoja wa vijana ulistahili kuwa chombo cha kuwapigania vijana lakini hawa wanapigana vita ya wazee wao wanafiki,walioliharibu taifa
-Hii ni idara ya kupika majanga na maafa yajayo kwa taifa
They worthless than appendix,morally and politically bancrupty.
Huyo ni wakumuonea huruma tu, hajui hata M4C ni nini, waache kwanza wapooze majeraha akili zikiwarudia watakaa pamoja tu magambani, kinachowauma ni kutumia pesa nyingi na wakapigwa mweleka wa uhakika.Ha ha haaa New Movement for Change (NM4C) Bwa ha haaaaa
Jipya lipo, aliyewapa pesa za kuhonga anahoji pesa zote zimefanya kazi gani mbona wote wameangushwa? ni kwa nini ni Vijana wa Lowasa pekee ndio waliogaragaza wenzao? Samuel Sitta alishayapima maji na akaona kuna dalili za kufirisika uzeeni.Hakuna jipya hapo!!
Hakuna M2 wa kukimbia hapa kinachoenekana ni wanaChadema kupagawa na vuguvugu jipya la mabadiliko ndani ya CCM mpya na halisi