mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,664
- 18,041
Ummy anafanya kazi kwa kuajiriwa na watanzania, hana mamlaka ya kugeuza hospitali zetu tunazoziendesha kwa kodi zetu ziwe za binafsi baada ya saa za kazi!! Ajenge hospitali zake na kuwapa hao madaktari!!
Anakiri kabisa kuwa huduma za umma siyo nzuri, kwa nini asiziboreshe? kwani kazi yake ni nini?
Anakiri kabisa kuwa huduma za umma siyo nzuri, kwa nini asiziboreshe? kwani kazi yake ni nini?