umetisha Madame B vip umeweka wapi kambi kwa siku zote izo?...swalama lakini?...
...uwii nanyamaza...bebii....unajua si vizuri kusema siri zetu hadharani....?....hawakawii kuniiba ujue.....
Huku swalama kabisa.
Aaaaaa Mkuu,c unajua sie watu wa kambi popote?
Bar unalala,
kwa Mashosti unalala,
kwa ma Bro unalala,
kwa Wageni unalala,
Club ndo usiseme na sehemu nyinginezo za mafichoni uzijuazo..!!!!
Zooote kambi kwa kwenda mbeleee...!!!
pole sana bagah kwa kutotandika kitanda.......
sie wengine tukiamka tu ..
kwanza nasali....
kisha natandika kitanda....
halafu mengine yanafuata...
ndivyo nilivyofundishwa, na ndivyo ninavyofundisha watoto wangu.....
nahisi wanaume wa jf hawatandiki vitanda..........:lock1: