silali na neti, i hate neti. so huwa kutandika ni very simple! yaani i have to do that nikiamka tu. so nimekiacha super mkuu bagah!
dah jamani topic za ukwel hivi sio nzuri.. haya sasa mi sijatandika wik ya pil hii lakni kabla ya kulala najitaid kutandika kidogo.!!! Ubachela mbaya nyie achen tu..
silali na neti, i hate neti. so huwa kutandika ni very simple! yaani i have to do that nikiamka tu. so nimekiacha super mkuu bagah!
...ucjari nikiamka tu na kiweka vizuri....mimi nimeshine leo kweli kweli....na kitandani nimemwacha my bebii bado amelala......hapo nimekiacha vibaya....?
...hahahahahaha..mpe na matokeo ya Game yalikua ngapi ngapi...maana mpk mapumziko...ilikua 3-2... Pretahaaa....stabilizer joints.....ball joints......na centre bolt.....zote ni za kubadilisha.....
hooooooi leo......
mimi nimeshine leo kweli kweli....na kitandani nimemwacha my bebii bado amelala......hapo nimekiacha vibaya....?
Hahahahaaa kitanda nimekiacha chumbani kiko na ndovu pembeni