Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,716
- 15,287
Msichana mzuri aliweka tangazo
kwenye gazeti akisema anatafuta
mwanaume atakayemwoa,ambaye
hata mwacha na atamridhisha
kitandani.
kesho yake akashangaa jamaa
anagonga mlango hana miguu
wala mikono.mjadala wao ukawa
hivi.
Mrembo:unagonga unataka nini
wewe?
Jamaa:niliona tangazo lako
kwenye gazeti,nimeamua nikuoe
Mrembo:nitakupeleka wapi mtu
huna miguu wala mikono.
Jamaa:una bahati kuwa na
mimi,sina mikono kwahiyo siwezi
kukupiga,sina miguu kwahiyo
siwezi kukuacha.
Mrembo:sasa we kweli kitandani
uko fiti?
Jamaa:sasa ndo ujiulize sina
mikono wala miguu ila mlango
niliugonga na nini.:A S-confused1:
kwenye gazeti akisema anatafuta
mwanaume atakayemwoa,ambaye
hata mwacha na atamridhisha
kitandani.
kesho yake akashangaa jamaa
anagonga mlango hana miguu
wala mikono.mjadala wao ukawa
hivi.
Mrembo:unagonga unataka nini
wewe?
Jamaa:niliona tangazo lako
kwenye gazeti,nimeamua nikuoe
Mrembo:nitakupeleka wapi mtu
huna miguu wala mikono.
Jamaa:una bahati kuwa na
mimi,sina mikono kwahiyo siwezi
kukupiga,sina miguu kwahiyo
siwezi kukuacha.
Mrembo:sasa we kweli kitandani
uko fiti?
Jamaa:sasa ndo ujiulize sina
mikono wala miguu ila mlango
niliugonga na nini.:A S-confused1: