FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Kiaina, kama nilivyosema, nataka wadogo zangu wapate wake wazuri, na pia wanaJF mabachela wa hapa ndani wapunguze threads za ..."NIMEIBIWA, .....NIMECHANGANYIKIWA ....etc!..mi huwa zinaninyima amani sana!
Nadhani tuko pamoja dada FL1
Pamoja sana PJ