TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,702
- 11,034
Thanks Mwana wa Mungu,huu wote mnaongea ni uchafu. ongeeni kitu cha maana, mmejaa mawazo ya uzinzi toke A hadi Z. mtaacha lini mawazo machafu hayo? Mungu katuumba sisi sote wazuri, kama ni tabia, shetani ndo anaweza kubadilisha mtu akawa na tabia mbaya, awe msukuma au mnyakusa, msambaa au mhehe, kama hana Mungu, hakika tabia yake lazima itakuwa mbaya tu siku moja hata kama sio leo. ndo maana ninyi ambao wanawake wenu hawamjui Mungu, usalama wenu ni mdogo sana.
shetani anaweza kubadilisha chochote kwenye mwili wa mtu ambaye hamjui Mungu, anaweza kuharibu hata homorns za kike au kiume, halafu ndoa ndani ikawa chungu hata kama huyo mtu ni msukuma, mhaya, au mkurya etc, haijalishi, the most important thing ni namna gani mtu amejiweka kiulinzi wa kimungu hapa duniani, kama hana ulinzi wa kimungu, basi anaweza kuwa yeyote yule wakati wowote ule, anaweza akawa si lolote lile wakati wowote ule hata kama kwasasa unamuona kama ni chochote.
kwanza kwa kutoelewa mada vizuri
pili kwa ku-judge wenzako vizuri tu
tatu kwa kujichanganya kwenye mada
nne, kwa kwenda mbali sana wakati mada iko poa tu