kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,318
- 4,089
Kajala Masanja
Jini kabula
Dayna Nyange
Vicky kamata
Upendo Peneza
Njooni mnaitwaaaa.
Jini kabula
Dayna Nyange
Vicky kamata
Upendo Peneza
Njooni mnaitwaaaa.
nijuacho ni wakarimu kweli (si rahisi aseme no ukimuomba k) cc Mama Sabrinaachana kabisa na mwanamke wa kisukuma.. popote pale hua natoa heshima zangu.. miaka kadhaa iliyopita nilibahatika kusoma na ng'wanike mmoja.. nilianza kumfaham toka naingia chuo.. tabia zao zile za kubandika matokeo ya kidato cha sita.. ili watambuane wenye uwezo wa kubwia maandishi... bas aisee yule mtoto sikuwahi ona kasoro hata moja.. kapanda hewani.. mwendo wake hutaacha kumwangalia... haongei sana.. usimpofaham unaweza kuhisi ana dharau... kanisani huwezi kumkosa jumapili... na akitoka darasani yupo rum kwake....
nini nilikishangaa sana kwake..!??
1.alikuja kupata mpenz pale.. aisee jamaa akawa anafuliwa nguo zinapihwa pasi. anakuja jumamosi kabla hajatoa nguo unaona ashaanza kutania jamani ngoja niwapigie deki.. na anadeki kweli..
2.siku moja nilmtembelea rum kwake.. daah mtoto yule.. kama sio engineer kapanga chumba hicho.. kila kitu kipo sehem yake...
3. mara migogoro ikaanza yule jamaa kumbe alikua na mpenz.. akaja kufumwa... ikabidi waachane kimya kimya.. jamaa akaanza kutangaza.. aaah!! sijali dem mwenyewe nimemtoa bk mm...(imagine!!)
nilikua nikisoneneka sana... basi jumamosi kadhaa zijazo tutakua sehem anakata keki na kututambulisha kua sasa anataka kibali cha halali cha ''"kukamuliwa protin''"
dada yangu.. nakupa heshima zako!!
Nb:kukamuliwa protin - kufiringisana (gudume 2017)
Anaweza kujifunza zaidi na kuwa poa kwenye mapishiMapishi ndio shidaaaarrrr
achana kabisa na mwanamke wa kisukuma.. popote pale hua natoa heshima zangu.. miaka kadhaa iliyopita nilibahatika kusoma na ng'wanike mmoja.. nilianza kumfaham toka naingia chuo.. tabia zao zile za kubandika matokeo ya kidato cha sita.. ili watambuane wenye uwezo wa kubwia maandishi... bas aisee yule mtoto sikuwahi ona kasoro hata moja.. kapanda hewani.. mwendo wake hutaacha kumwangalia... haongei sana.. usimpofaham unaweza kuhisi ana dharau... kanisani huwezi kumkosa jumapili... na akitoka darasani yupo rum kwake....
nini nilikishangaa sana kwake..!??
1.alikuja kupata mpenz pale.. aisee jamaa akawa anafuliwa nguo zinapihwa pasi. anakuja jumamosi kabla hajatoa nguo unaona ashaanza kutania jamani ngoja niwapigie deki.. na anadeki kweli..
2.siku moja nilmtembelea rum kwake.. daah mtoto yule.. kama sio engineer kapanga chumba hicho.. kila kitu kipo sehem yake...
3. mara migogoro ikaanza yule jamaa kumbe alikua na mpenz.. akaja kufumwa... ikabidi waachane kimya kimya.. jamaa akaanza kutangaza.. aaah!! sijali dem mwenyewe nimemtoa bk mm...(imagine!!)
nilikua nikisoneneka sana... basi jumamosi kadhaa zijazo tutakua sehem anakata keki na kututambulisha kua sasa anataka kibali cha halali cha ''"kukamuliwa protin''"
dada yangu.. nakupa heshima zako!!
Nb:kukamuliwa protin - kufiringisana (gudume 2017)
Baadhi yao ni wababe na washirikina.PakaJimmy,
Wanawake wa kisukuma
- ni wenye kuheshimu sana waume zao na wanaume kwa ujumla
- ni wachapa kazi sana
- ni wakarimu sana
- ni watiifu
- ni wenye ujuzi na mambo ya kujenga familia (wamefundwa)
- ni wazuri kimaumbile
- ni wajuzi wa kumridhisha mwanamume katika kila hali
Duh tabu Duh shida!
Baadhi yao ni wababe na washirikina.
Ila misambwanda kweli Mungu kawajalia.