katika wachangiaji wote waliochangia hii mada ( including me), wewe ndiye uliyeongea jambo la msingi sana
kule iringa kuna eneo ambalo line ya umeme ilikwepa makaburi kwa sababu tatizo lilikuwa linatokea pale tuu, na kakobe alifananisha uwezo wake na uwezo ulokuwepo pale kwenye makaburi kwa sababu nakumbuka alitolea mfano huo..sasa yale makaburi sijui ni nguvu zipi na za kakobe ni zipi mpaka ajifananishe nazo!!
Lakini jama, ivi kweli umeme umegoma kupita pale??au watu na mauzandiki yao tuu!!