JOYCE PAUL
JF-Expert Member
- Jan 8, 2010
- 1,005
- 82
jamani hilo la umeme kugoma kupita hapo kwa kakobe na mimi nimelisikia ,ila sishangai kwani sehemu nyingi tu ilishatokea hilo mfano iringa kuna sehemu(jina silikumbuki) ina makaburi mawili ambapo nguzo ilibidi zipindishwe baada ya umeme kutopita juu ya makaburi hayo na sinza makaburini pia ni same prob ilijitokeza wakapitisha nguzo kwingine
:frusty:.
:frusty:.