Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,506
- 14,367
- Thread starter
- #41
sina hasira hata kidogo Asha D!Sasa FT1 hapa inaonesha wewe ndo mwenye hasira mkuu, kila ukiguswa washtuka, jiachie kidogo bana!
hapa ni full utani na Lizzy ni moja ya watu rational saana hapajamvini...
sisemi hivyo sababu ni partner hapana.. but ni mmoja wa waelewa sana
Alafu pleease in the future usifananashe one member with another
yaweza leta chuki kati ya members bahati nzuri saana mimi
na Lizzy tumeshibana... Sorry kama nitakua nimekuudhi sina nia mbaya..
muda mwingine kusema ukweli inapendeza zaidi.
na sij
ui kwanini watu sometimes huwa wana criticise thread za wenzao lakini kwa thread hii kama mtu akikaa na kuisoma vizuri ina maudhui mazuri tu ndani yake.
lakini zikija baadhi ya thread kisa imeletwa na fulani hata kama haina mashiko hawata i criticize hata kidogo na watachangia kama kawaida
Asante Asha D, nanyamaza