Umasikini wa Watanzania ni wa kujitakia

Mjinga ni yule aliyekuwa anaamini Lowassa atamletea kula, Maendeleo yako yataletwa na ww mwenyewe hao viongozi kazi yao ni kukuboreshea miundombinu ya ww kutafuta pesa,
kwa hiyo ccm kwa miaka zaidi ya hamsini wameboresha miundo mbinu sio? kwa hiyo ndo tuwape wandelee?

attachment.php
attachment.php


attachment.php


attachment.php



attachment.php
 

Attachments

  • mgonjwa.jpg
    mgonjwa.jpg
    8.3 KB · Views: 115
  • Shida+ya+maji.jpg
    Shida+ya+maji.jpg
    34.8 KB · Views: 111
  • maji.jpg
    maji.jpg
    11.4 KB · Views: 113
  • Wanafunzi.jpg
    Wanafunzi.jpg
    57.9 KB · Views: 124
  • shule.jpg
    shule.jpg
    27.7 KB · Views: 227
  • The Good thing ni kuwa LOWASA Hana cha kupoteza!! he is very Rich,
  • Jambo lingine, ni kuwa anaweza kurudi CCM tu, wala hakukosana na mtu, na mliona jinsi ambavyo Campeni zake zilikuwa za kistarabu kabisa, hakutukana mtu yeyote, wala hakuwasema wezi wenzake aliokuwa nao CCM.
  • Yeye URAisi ulikuwa ni ku-ACCOMPLISH ambitions zake tu (RECOGNITION)
  • tatizo ni kwako wewe usiyekuwa na kazi, maskini, etc, unayeamini kuwa VIONGOZI ni kukuboreshea miundo mbinu!!!--uliyedanganyika kuwa HAPA KAZI TU!!!, hakuna rangi utaacha kuona , na wakati watu wanaboresha miundombinu yao ya kuendelea kuwa ma-CAPITALISTS, wanaotumia kila mbinu kuhakikisha wanarudi madarakani, na kwa gharama zote zinazowezekana!!

Mistar mitatu ya kwanza ndo kilichobakia kwenu kwa sasa, ule upuuz wenu mliokuwa mkiopost humu ndani naona taratibu unaanza kupungua.... Mstari wa mwisho umejionyesha ww ni Lofa na pumbavu kwa sababu huwezi kumsemea mtu usiyemjua, huna lolote unalolijua kuhusu mm
 
Wote mnaomuunga mkono mtoa mada ni mambumbumbu hasa. Hivi upinzani huu kweli unaweza kuiletea nchi yetu maendeleo? Hivi nyie mnaijua ccm kweli? Hivi nyie mnamjua Lowassa na madhara aliyoiletea ccm? Hicho mnachokiikita MFUMO mnakielewa? Je, kweli mnadhani Mbowe na genge lake wanadhamira njema na nchi hii? Mnawafahamu walio nyuma ya wapinzani hawa na nia yao? Je, mnajua ni kwanini Lowassa tangu enzi ya Nyerere anakataliwa? Tafuteni kuzijua siasa za Tz.

Tupe majibu basi tuone uelewa wako ....
 
kaka unashangaa hayo tu!!, nipo karibu na BULYANHULU

ni mgodi unaofahamika kama " WORLD CLASS DEPOSIT" Ktk ulimwengu wa makampuni ya UCHimbaji wa madini, Huwezi kuamini kuwa mgodi huu umekuwa kwenye uzailishaji kwa zaidi ya miaka 18 sasa...
waajiriwa wageni(expats) kutoka mataifa mbalimbali huja na kutoka na kujichumia mishahara ya kufuru, achilia mbali uzalishaji wa dhahabu yenyewe.

jambo la kushangaza, ukitoka zaidi ya km1 kutoka mgodini kuna Kitongoji cha KAKOLA ambacho hakina Reflection kabisa ya utajiri ambao Mungu ameuweka Hapo... watu wanaishi maisha Choka mbaya ile mbaya.. CHini ya MBUNGE wao MAIGE... hakuna maji, vyakula wala barabara za kueleweka, watu wanaishi kwenye vinyumba vya SLOpe..

kutoka Hapo mpka ukute barabara ya lami unahitaji kutembea kilometer zaidi ya 80..

pamoja na matatizo yoote hayo jamaa wamejitoa ufahamu, na wameirudisha CCM KWA KISHINDO.. kuanzia kura za udiwani mpaka uraisi...

potelea mbali hao wengine waliojitoa ufahamu na kuwezesha BAO la mkono!!

Hii ndio tanzania ndugu yangu!!!!


"maisha bora kwa kila mtanzania" na sasa " HAPA KAZI TU".





Sasa nimeamini kuwa umasikini wa Watanzania walio wengi ni wa kujitakia.
Nasema hivi kwa kuangalia jinsi kampeni za uchaguzi zilivyokuwa na jinsi
matokeo yanavyoendelea kutangazwa. Niliamini kuwa sisi watanzania tumetambua
chanzo cha umasikini wetu ni CCM na viongozi wake. Na hii ndio imefanya uchaguzi
wa mwaka huu kuwa wa msisimko mkubwa na hata kuwapa kazi kubwa wazee wa CCM
waliostaafu, vijana wa CCM waliobahatika kupata mrija wa kupata chochote chini
ya CCM na hata wasanii wetu waliolipwa mamilioni ya pesa ili kuwashawishi
masikini waendelee kuichagua CCM. Niliamini tunajitambua na tunaelewa haki yetu ni
nini. Lakini kwa jinsi matokeo yanavyotangazwa, nimeamini kuwa umasikini wetu ni
wa kujitakia.
Ushauri Wangu:
(1) Kama ni kweli hizi kura ni za haki. Kwa kweli mtu yeyote akija kukuomba msaada
kwa maelezo yake kuwa maisha ni magumu. Mtu kama huyu hafai kusaidiwa kabisaaaaaa!
Maana mijini unaweza kutana na mtu anakuomba nauli au pesa ale. Mtu kama huyu
unaweza mfukuza tuu akaombe ofisi za kata.


(2) Vijana wengi wakilalamika kuwa hakuna Ajira. Kwa kweli nitabaki kuwaaangalia na
kuwa support wakiwa kwenye vigenge wanacheza bao.


(3)Wanafunzi wa vyuo wakilalamika mikopo inachelewa. Watu kama hawa unatakiwa kuwaangalia
tuu.


(4)Watu wakisema hamna madawa mahospitalini watu wanalala chini. Ni kuwaangalia na kuwaambia
mmejitakiwa wenyewe kwa kurudisha utawala ambao umeshindwa kuwa support miaka 54.


Kwa ujumla ni kwamba Umasikini wetu utakaoendelea kuwepo Tanzania ni wa kujitakia.
Na nchi itaendelea kunyonywa na kuwafanya wachache kuwa mabepari na matajiri na wengine
kuendelea kuwa masikini. Inasikitishaa sanaa.
Maoni yangu::::
 
Kuna mgombea urais huko marekani anaitwa Donald Trump kuna maneno kaongea kuhusu sisi waafrika,naamini sisi sio wazima kiakili
 
  • The Good thing ni kuwa LOWASA Hana cha kupoteza!! he is very Rich,
  • Jambo lingine, ni kuwa anaweza kurudi CCM tu, wala hakukosana na mtu, na mliona jinsi ambavyo Campeni zake zilikuwa za kistarabu kabisa, hakutukana mtu yeyote, wala hakuwasema wezi wenzake aliokuwa nao CCM.
  • Yeye URAisi ulikuwa ni ku-ACCOMPLISH ambitions zake tu (RECOGNITION)
  • tatizo ni kwako wewe usiyekuwa na kazi, maskini, etc, unayeamini kuwa VIONGOZI ni kukuboreshea miundo mbinu!!!--uliyedanganyika kuwa HAPA KAZI TU!!!, hakuna rangi utaacha kuona , na wakati watu wanaboresha miundombinu yao ya kuendelea kuwa ma-CAPITALISTS, wanaotumia kila mbinu kuhakikisha wanarudi madarakani, na kwa gharama zote zinazowezekana!!
Speak to them man!
Halafu ajabu kama alivyosema mwanzisha uzo, wanawachagua ni hohehahe ambao kazi yao kugongea na kulalamika kuwa maisha magumu, huduma mbovu nk.
Hakika waitaisoma namba, ni kukata vimisaada tu.
 
Mbona watanikoma sasa, nilikuwa ni mtu mwenye huruma ila sasa ni mwendo wa HAPA KAZI TU .................. MSAADA WAONE WAFADHIRI.
 
Mwenge umewapumbaza,hawajui walitendalo.Usiwanyime msaada wape.Kwani kuchaa akiwa na njaa akikuomba chakula humpi.Watanzania ni watu wasiojitambua kabisa,treat them as you would treat a lunatic.
Sasa nimeamini kuwa umasikini wa Watanzania walio wengi ni wa kujitakia.
Nasema hivi kwa kuangalia jinsi kampeni za uchaguzi zilivyokuwa na jinsi
matokeo yanavyoendelea kutangazwa. Niliamini kuwa sisi watanzania tumetambua
chanzo cha umasikini wetu ni CCM na viongozi wake. Na hii ndio imefanya uchaguzi
wa mwaka huu kuwa wa msisimko mkubwa na hata kuwapa kazi kubwa wazee wa CCM
waliostaafu, vijana wa CCM waliobahatika kupata mrija wa kupata chochote chini
ya CCM na hata wasanii wetu waliolipwa mamilioni ya pesa ili kuwashawishi
masikini waendelee kuichagua CCM. Niliamini tunajitambua na tunaelewa haki yetu ni
nini. Lakini kwa jinsi matokeo yanavyotangazwa, nimeamini kuwa umasikini wetu ni
wa kujitakia.
Ushauri Wangu:
(1) Kama ni kweli hizi kura ni za haki. Kwa kweli mtu yeyote akija kukuomba msaada
kwa maelezo yake kuwa maisha ni magumu. Mtu kama huyu hafai kusaidiwa kabisaaaaaa!
Maana mijini unaweza kutana na mtu anakuomba nauli au pesa ale. Mtu kama huyu
unaweza mfukuza tuu akaombe ofisi za kata.


(2) Vijana wengi wakilalamika kuwa hakuna Ajira. Kwa kweli nitabaki kuwaaangalia na
kuwa support wakiwa kwenye vigenge wanacheza bao.


(3)Wanafunzi wa vyuo wakilalamika mikopo inachelewa. Watu kama hawa unatakiwa kuwaangalia
tuu.


(4)Watu wakisema hamna madawa mahospitalini watu wanalala chini. Ni kuwaangalia na kuwaambia
mmejitakiwa wenyewe kwa kurudisha utawala ambao umeshindwa kuwa support miaka 54.


Kwa ujumla ni kwamba Umasikini wetu utakaoendelea kuwepo Tanzania ni wa kujitakia.
Na nchi itaendelea kunyonywa na kuwafanya wachache kuwa mabepari na matajiri na wengine
kuendelea kuwa masikini. Inasikitishaa sanaa.
Maoni yangu::::
 
Kuna mgombea urais huko marekani anaitwa Donald Trump kuna maneno kaongea kuhusu sisi waafrika,naamini sisi sio wazima kiakili
 
Unaelewa maana ya Demokrasia?. Unacholazimisha wewe ni Udikteta, eti kwavile unawasaidia watu basi wachague chama ukipendacho. Hiyo ni RUSHWA. Msaada wako usiwe sababu ya kuwashurutisha watu.

Swala sio kuwachagulia wanatakiwa kujitambua iweje wewe ufanye uamuzi wa kujiumiza halafu upewe msaada wakati umepewa nafasi ya kufanya uamuzi wa kukuletea maendeleo amakweli hii ndio Tanzania wanayoishangaa wengine
 
Sasa nimeamini kuwa umasikini wa Watanzania walio wengi ni wa kujitakia.
Nasema hivi kwa kuangalia jinsi kampeni za uchaguzi zilivyokuwa na jinsi
matokeo yanavyoendelea kutangazwa. Niliamini kuwa sisi watanzania tumetambua
chanzo cha umasikini wetu ni CCM na viongozi wake. Na hii ndio imefanya uchaguzi
wa mwaka huu kuwa wa msisimko mkubwa na hata kuwapa kazi kubwa wazee wa CCM
waliostaafu, vijana wa CCM waliobahatika kupata mrija wa kupata chochote chini
ya CCM na hata wasanii wetu waliolipwa mamilioni ya pesa ili kuwashawishi
masikini waendelee kuichagua CCM. Niliamini tunajitambua na tunaelewa haki yetu ni
nini. Lakini kwa jinsi matokeo yanavyotangazwa, nimeamini kuwa umasikini wetu ni
wa kujitakia.
Ushauri Wangu:
(1) Kama ni kweli hizi kura ni za haki. Kwa kweli mtu yeyote akija kukuomba msaada
kwa maelezo yake kuwa maisha ni magumu. Mtu kama huyu hafai kusaidiwa kabisaaaaaa!

Maana mijini unaweza kutana na mtu anakuomba nauli au pesa ale. Mtu kama huyu
unaweza mfukuza tuu akaombe ofisi za kata.


(2) Vijana wengi wakilalamika kuwa hakuna Ajira. Kwa kweli nitabaki kuwaaangalia na
kuwa support wakiwa kwenye vigenge wanacheza bao.


(3)Wanafunzi wa vyuo wakilalamika mikopo inachelewa. Watu kama hawa unatakiwa kuwaangalia
tuu.


(4)Watu wakisema hamna madawa mahospitalini watu wanalala chini. Ni kuwaangalia na kuwaambia
mmejitakiwa wenyewe kwa kurudisha utawala ambao umeshindwa kuwa support miaka 54.


Kwa ujumla ni kwamba Umasikini wetu utakaoendelea kuwepo Tanzania ni wa kujitakia.
Na nchi itaendelea kunyonywa na kuwafanya wachache kuwa mabepari na matajiri na wengine
kuendelea kuwa masikini. Inasikitishaa sanaa.
Maoni yangu::::

Inaonesha Mungu amekujalia sana...
 
Swala sio kuwachagulia wanatakiwa kujitambua iweje wewe ufanye uamuzi wa kujiumiza halafu upewe msaada wakati umepewa nafasi ya kufanya uamuzi wa kukuletea maendeleo amakweli hii ndio Tanzania wanayoishangaa wengine

ivi wewe unafikiri una akili nyingi sana kuliko watu wote tanzania.
 
Unaelewa maana ya Demokrasia?. Unacholazimisha wewe ni Udikteta, eti kwavile unawasaidia watu basi wachague chama ukipendacho. Hiyo ni RUSHWA. Msaada wako usiwe sababu ya kuwashurutisha watu.

Mkuu, kwakweli mi nakuona kama unatumia akili ya chama chako kutoa fikra hapa.

Mimi cna chama ila sina imani wala kutaka chama cha CCM kiendelee na madaraka kwa sababu hizi:-

-ingawa kimetoa mafanikio ila hayana uhalisia na maisha ya sasa.
-kudorora kwa uchumi na kupanda kwa maisha ingawa zamani sio sasa.
-kuongezeka kwa umimi na kupungua kwa huruma kwa wananchi kutoka serekalini kwao.
-majigambo ya chama tawala bila ya uhalisia wa mafanikio kulingana na majigambo yao.
-mchi kuwa ya chama kimoja wakati wapo watanzania wengine wana vyama vyao.
-matatizo ni mengi kuliko faida yenyewe.

Mimi naona ifike siku hiki chama kikae pembeni na watanzania wengine nao watawale. Ingawa kinapendwa lakni wengio wao wamechoshwa na hiki chama.
 
Unaelewa maana ya Demokrasia?. Unacholazimisha wewe ni Udikteta, eti kwavile unawasaidia watu basi wachague chama ukipendacho. Hiyo ni RUSHWA. Msaada wako usiwe sababu ya kuwashurutisha watu.

Mkuu, kwakweli mi nakuona kama unatumia akili ya chama chako kutoa fikra hapa.

Mimi cna chama ila sina imani wala kutaka chama cha CCM kiendelee na madaraka kwa sababu hizi:-

-ingawa kimetoa mafanikio ila hayana uhalisia na maisha ya sasa.
-kudorora kwa uchumi na kupanda kwa maisha ingawa zamani sio sasa.
-kuongezeka kwa umimi na kupungua kwa huruma kwa wananchi kutoka serekalini kwao.
-majigambo ya chama tawala bila ya uhalisia wa mafanikio kulingana na majigambo yao.
-mchi kuwa ya chama kimoja wakati wapo watanzania wengine wana vyama vyao.
-matatizo ni mengi kuliko faida yenyewe.

Mimi naona ifike siku hiki chama kikae pembeni na watanzania wengine nao watawale. Ingawa kinapendwa lakni wengio wao wamechoshwa na hiki chama, ingekuwa vyema tukashirikiana kukiondoa ili tuone na wengine nao watafanya nini, ingekuwa adabu tosha kwa wengine na wange kaa sawa.
 
Mjinga ni yule aliyekuwa anaamini Lowassa atamletea kula, Maendeleo yako yataletwa na ww mwenyewe hao viongozi kazi yao ni kukuboreshea miundombinu ya ww kutafuta pesa,

Ni kweli mkuu, ila kwanini walalamike wao tuu?, ivi hao wanao lalamika ni wanchi gani?,mbon tunaambiawa faida lkwa wote, kwani ikitokea kipindi wakuu wa vyama vyao wakapewa na wao wakatawala kutakuwa na tatizo?.
 
Back
Top Bottom