Mr_Teacher
JF-Expert Member
- Feb 28, 2021
- 362
- 334
We bhana wewe hiyo umeifanyia wapi? Kwa tangazo gani la application?Duh nifafanulie mkuu mbona tumeshafanya applications
We bhana wewe hiyo umeifanyia wapi? Kwa tangazo gani la application?Duh nifafanulie mkuu mbona tumeshafanya applications
4,200,000Naomba kujua gharama za kusoma Bachelor of science with education ( Bsc.ed). Pia utaratibu wa kufanya practical yaani kila kituo kina maabara au mpaka makao huko dar! Mwisho naomba kozi za chemistry na biology! Asante.
sasa kama umeenda sehemu official umeambiwa unit 9 uku unatafuta nnNimenroll Postgraduate diploma ya law lakin cjajua nasajiri courses zipi za codes 500+( masters) au hizi za undergraduate..... Nimeeda tawi nikaambiwa nasoma UNIT 9.... liko sawa hili? pia zipi nisajili kwa semester inayooanza april........ Au tuwasiliane 0713047951 nili nipate faida zaidi.....
Hivi vitu vyote wazi kwenye tovuti usipate tabu na kuwa mvivu majibu yote yapo wazi ingia www.out.ac.tzMaster of Education in quality management Ada ni shilingi ngapi na course inachukua muda gani
Mtafute cordinator wa hii programme atakupa muongozo ingia kwenye tovuti www.out.ac.tz then academic then faculties tafuta hiyo programme utaona mawasiliano ya coordinatorNimenroll Postgraduate diploma ya law lakin cjajua nasajiri courses zipi za codes 500+( masters) au hizi za undergraduate..... Nimeeda tawi nikaambiwa nasoma UNIT 9.... liko sawa hili? pia zipi nisajili kwa semester inayooanza april........ Au tuwasiliane 0713047951 nili nipate faida zaidi.....
Kozi za sheria zote hazina descriptions za fee+cordinatorsMtafute cordinator wa hii programme atakupa muongozo ingia kwenye tovuti www.out.ac.tz then academic then faculties tafuta hiyo programme utaona mawasiliano ya coordinator
Ajira kwakweli siwezi kuzungumzia sana maana mambo kwasasa Yako dynamic sana.Asante kiongozi vp khs wigo wa ajira katika hyo fani
Kwa level ipi hasaZinahitajika credit ngapi za o level Ili kuisoma hyo kozi?
Unaweza kuombaNinataka kusoma bachelor of business administration with education kwa kutumia diploma ya ualimu, ingawa olevel math sikupata pass (F) na sikusoma masomo ya biashara, masomo mengine yote nilipata pass.
Unataka kuapply kwa kutumia cheti Cha Diploma au form 6?Nina bachelor katika fani nyingine ila nataka kusoma IT,je ninaweza kuanza na level gani...(o level nina D physics na math ila masomo mengine yote nina C na B )
Nataka kutumia cheti cha Diploma ambapo katika diploma hii nimesoma mathematics, biology na chemistryUnataka kuapply kwa kutumia cheti Cha Diploma au form 6?
Kuna baadhi ya vitu katika tovuti yao havipo wazi kama unavyodai hapa. Kama mm hiyo tovuti nimeifuatilia sana lakin hainipi majibu ya maswali yangu.Hivi vitu vyote wazi kwenye tovuti usipate tabu na kuwa mvivu majibu yote yapo wazi ingia www.out.ac.tz
Ingia kwenye academic then faculties tafuta hiyo course angalia gharama na mambo mengine haifiki ata 4m
Ndio wanapokelewaVp kwa wanaomba transfer kutoka vyuo vingine private mnawapokea yaan certificates na o.diploma social work?
Pole kwenye vile vipeperushi vyenye programme kuna namba ya Kila Mkoa.Kuna baadhi ya vitu katika tovuti yao havipo wazi kama unavyodai hapa. Kama mm hiyo tovuti nimeifuatilia sana lakin hainipi majibu ya maswali yangu.