Wakanda27
Member
- May 23, 2020
- 40
- 492
Sijawai tia visa humu ila acha niubariki uzi kidogo...
Mwaka jana mwishoni nilikua na izi za kimasihara kama mbili ivi
1. kuelekea sikukuu ya krismas, namimi niliamua kwenda home kidogo kupata baraka,
Safari ilianza kutokea mkoa x, then nikashukia sehemu ku"enjoy kidogo.
Nikalala usiku mmoja kesho yake nikaendelea na safari kuelekea makao makuu ya nchi, nawashukuru makonda kwa kunipa siti moja na yule mdada.
Asubuhi bado niko na wenge la pombe ikawa ni kulala tu kwenye gari, bidada alisalimiwa tu salamu moja nikavunga zangu, sura ya kawaida tuu. Mida ya lunch sasa alivoshuka(hotel za njiani zile) ndo nilim"x
Kurudi Kwenye gari nikaanzisha story pale za uongo na kweli, nikajua tumesoma mkoa moja ila shule tofauti za boarding, mbeleni pia nikajua ni muhitimu wa chuo 2021..
Basi stori zikaendelea akanipanga anaenda interview mikoa ya nyanda za juu kusini, ikabidi nimpe simu aandike namba maana niliona hii ishu iko 50/50.
Kweli nikapewa namba, stori zikaendelea kwenye msgs, ikabidi nimpange kua mi mwenyewe niko 50/50 safari yangu haiishi makao makuu na mda wa kufika pale itakua tumechelewa, kwanini asilale then kesho ndo aendelee na safari...
Baada ya ushawishi wa kufa mtu, atleast akaanza kueleweka.. ila bafo akawa anang'ang'ania akipata usafiri ataendelea na safari..
Hamadi safari ikafika tamati, sasa pale makonda full kuzingua mi nikakomaa pale atafutiwe gari la kesho, na Mungu au sijui shetani fundi bhana... Magari kwa mda ule ilikua ni ngumu kupatikana, plus ni msimu wa sikukuu ndo kizaizai kikazidi...
Ikabidi demu aelewi, tukatafuta lodge nzuri. Mimi nikokamaa iwe room moja kusave cost, kweli nikalipia bado akawa anakaza na yeye achukue room, nikamuambia huo mi upotevu wa ela tuu, baadae kiroho akakubali.
Lodge
Kufika room, tukachill stori zikaendelea.
Mi nikaingia bafuni na nguo zangu nikoaga na kupaka na kubadili uko uko (hapa ni kumuaminisha kua hatufanyi chochote)..
Baada ya mda nayeye akaenda oga. (Akatoka na dera, chupi & tight izi nilijua baadae).
Stories zikaendelea ila mda huo sasa tuko karibu , out of nowhere zikaanza touches, mtoto muoga yule. Chezea sana dera likatoka, chezea mno tight ikatoka chupi ndo ikawa kisangaa.
Chezea nyonya nyonyo nyonya kitovu, ku'rub clit adi chupi imelowa. Ndo ikatoka.
Kuingiza dyudyu nayo shughuli (yule mtoto alikua ametolewa bikra hana mda na amegongwa mara mbili tu iyo ya kutolewa bikra na iyo nyingine), kelele nikakomaa sana (maana adi kutoa iyo chupi ni karibia lisaa, nikajua nikizembea apa huu mzigo kuanza upya ni kesi), ikabidi nikomae na clit na nyonyo, password ikakubali mzigo ukaingia nusu, ayo macho kayatoa maskini anajua ataumia tena.
Ikabidi nifanye ivo ivo nusu mti adi nikakojoa (sikutumia ndomi wazee)..
Nilivomaliza, nikamuacha nikaenda nunua msosi. Kurudi tukala kwenda toilet nikakuta chupi ile iloloa bao zake kaifua kainika .. kurudi room akanambia ukweli kua hata iyo safari ni anaenda kwa bwana ake , ila home kwao kadanganya.. (nisamehe mwana nilokupigia demu wako)
Usiku nikala viwili ila msumbufu mno... Yaani sikuingiza dyudyu yote na tako sikulifaidi (maana doggy ukigusa uchi tuu karuka )..
Ila atleast nilifungua njia vizuri..
Saivi ananipenda hatari, na yupo tayari kunipa vyooote
Samahanini kwa li"essay hili, mimi sio mzuri wa kuandika
Hii ni counter attack umenikumbusha kisa kimoja kama hiki. Nilikuwa na pisi nilipewa namba nikawa nachat nayo tu. Sasa siku hio pisi ilikuwa inaenda kujiandaa na graduation so ikaaga home kuwa inaenda kulala hostel ili kesho awahi kumbe alikuwa anaenda kwa bwana wake. Sijui ilikuwaje ila siku hio chating ilikuwa imepamba moto balaa. Akawa ananiambia jioni anaenda kulala kwa jamaa yake, nikamwambia tuonane kabla hajafika huko. Akakubali,jioni natoka kibaruani nikaipanga niipitie kituo fulani. Nikampitia na huwezi amini hio ndio ilikuwa day 1 tunaonana face to face. Sasa siku hio kama zali, nilikuwa na gari ya kampuni ndio mpya hizi Toyota hilux na ndio ilikuwa imekuja kwa ajili ya kupelekwa mkoani so siku hio mm kama manager nilikuwa nayo ila kesho yake ilikuwa mkoani inaenda. Sasa si unajua haya mashirika ya wazungu za zero kilometers. Gari ilikuwa na nylon bado.
Pisi ikapanda, ilikuwa imevaa gauni fulani hizi za kuchanua chini na kabegi chake. Aisee kwanza ni kafupi ila rangi ya mtume, sura ni mzuri ila sasa anatako balaaa. So nikawa na mdrive huku story za hapa na pale. Nikamwambia tupitie nyumbani ili nibadilishe nguo za kazini then nitamdrop kwa jamaa yake. Yeye akakubali safari ikaanza, sasa lile gari yeye aka connect bluetooth akawa ndio DJ. Nimefika home nimepaki gari nje hata sijaingia ndani chini ya kamti fulani manzi akanigomea akasema ndani haendi. Nikasema sio kesi wacha nikabadilishe nguo huyo nirudi nimpeleke maana naona hapa game ishakuwa ngumu.
Hapo ilikuwa jioni hivi. Nikachange nikarudi kwenye Gari, sasa nikaanza mzingua kwamba aniage hapa mapema hata kwa hug maana nikimpeleka kwa jamaa yake sitaweza fanya hivyo. Manzi akakubali, akanipa hug pale zito mm nikawahi tomasa chuchu. Nikaanza mdogo mdogo shingoni huyo nikaenda mdomoni. Akanizuia akasema hatufanyi chochote, mm nikamwambia haina shida ni romance tu alafu tunasepa. Nikaendelea na utundu pitisha mkono kwenye mapaja nyonya lips wee mpaka nikaona analegea. Mdogo mdogo nikaanza kumfuata alipo, nikalaza kile kiti nikamjia kwa juu. Hapo gari linanguruma tu ( misuse of tax payers money) nikaendelea kutafuta kufuli na mkono nikaona amelowa chakali. Sasa akawa yeye ndio anaonyesha ushirikiano balaa mara anishike mashavu huku na mkiss. Sasa bana since alivaa kagauni nikapandisha juu, mimi nilikuwa na pensi so nikauchomoa mbususu. Yeye akatanua mguu kidogo nikasogeza pichu huyo nikaingiza. That pussy was to tight and sloppy nikapiga pump zangu pale wazungu hao tena nikaachia ndani. Sasa sex ya kwenye gari option zinakuwa limited, nikata kuunga lakini sikuweza toa goli la pili maana tukaanza kusweti na gari kama vioo vikawa vina ka ukungu fulani ( wali wenye experience ya car sex wanaelewa). Nikachomoa akarudishia pichu nikarudi kwenye siti ya dereva nikaanza safari. Sasa jamani ogopeni vitoto vya chuo, hapo pisi haikuomba hata ipate chance ya kwenda kujisafisha hivyo hivyo nikampeleka mpaka kwa jamaa yake. Akaomba nimshushe mtaa wa nyuma. Akaniaga na kiss pale huyo akaenda kwa jamaa yake huko. Ujana ulikuwa raha sana jamani.
Sasa imagine usikute kule jamaa ni wale wakupiga deki unakutana na mani za mwanaume mwenzio. Ndio maana mm deki siwezi aisee.