E7WA una maanisha nini? au ni sat iliopo digrii 7 east? kama ndivyo kwa ajili ya kupata channel zipi? ninacho jua kama ni zile za kiarabu ipo 7w.
ndio hizo je kwa hapa DAR unaweza ipata hiyo 7w?
E7WA una maanisha nini? au ni sat iliopo digrii 7 east? kama ndivyo kwa ajili ya kupata channel zipi? ninacho jua kama ni zile za kiarabu ipo 7w.
E7WA una maanisha nini? au ni sat iliopo digrii 7 east? kama ndivyo kwa ajili ya kupata channel zipi? ninacho jua kama ni zile za kiarabu ipo 7w.
Unauzaje G6 ndugu Arselona?Kuna wakati tumaweza kuwa bize kiasi cha kusahau starehe zetu.
Kwa kweli siwezi ishi bila hako kaugonjwa ingawa kuna wakati naonekana kama nimepona vile. Kwa walio wagonjwa kama mimi wanawezapata g6 kwa bei nafuu kabisa sasa. wasiliana nami. Srt 4922 bado zinapatikana.
nimekupm
Jamani msaada kwaanaejua jinsi yakupata Chanel zakenya kama Qtv .kutumia dish la ft 6 anisaidie kwakuweka picha ilinijalibu kutafuta. Maana naipata K 24 pekee. Natanguliza shuklani.
Kuna wakati tumaweza kuwa
bize kiasi cha kusahau starehe zetu.
Kwa kweli siwezi ishi bila hako kaugonjwa ingawa kuna wakati naonekana
kama nimepona vile. Kwa walio wagonjwa kama mimi wanawezapata g6 kwa bei
nafuu kabisa sasa. wasiliana nami. Srt 4922 bado zinapatikana.
Jamani msaada kwaanaejua jinsi yakupata Chanel zakenya kama Qtv .kutumia dish la ft 6 anisaidie kwakuweka picha ilinijalibu kutafuta. Maana naipata K 24 pekee. Natanguliza shuklani.
Kuna wakati tumaweza kuwa bize kiasi cha kusahau starehe zetu.
Kwa kweli siwezi ishi bila hako kaugonjwa ingawa kuna wakati naonekana kama nimepona vile. Kwa walio wagonjwa kama mimi wanawezapata g6 kwa bei nafuu kabisa sasa. wasiliana nami. Srt 4922 bado zinapatikana.
Salute kwako bro katika kuhangaika nakumbuka niliinasa hiyo family TV, basi tuzid kupeana updates zinapopatikana
nimekupm
Biharamulo-Kagera TZ,sasa kwenye ft 6 hiyo eutelsat3@7e inakaa juu ya ile ya aljezira au inakaa wapi kaka?
Inakaa katikati,toa ile c band ya kibongo pale kati kisha weka ku na hakikisha ku yako ipo @ 9 or 3 ndipo uitafute hiyo 7e