Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

Tongoni, kwanza 2jipongeze leo kwani arsenal tumeshinda leo japo kwa mbinde. Nikushukuru pia kwa kujumuika nami katika thread hii.Tunakukaribisha sana humu darasani.
 
Tongoni, kwanza 2jipongeze leo kwani arsenal tumeshinda leo japo kwa mbinde. Nikushukuru pia kwa kujumuika nami katika thread hii.Tunakukaribisha sana humu darasani.

Asante sana mkuu tutajaliza yale machache tuliyo na upeo nayo na kuchukua toka kwa wengine kwani haba na haba jahazi litasonga mbele.
 
Asante mkuu kwa kuleta somo.
Unapo tune dish say 36°W au 68.4°E unaanzia wapi na kuelekea wapi?
Nikiwa na maana kwamba 0° unaazia wapi na unaelekea horizontally au vertically?
Maana wengine tumeonyeshwa tu kwamba ukitaka station fulani dish linaelekea mashariki au kaskazini halafu unazungusha zungusha horizontally na vertically hadi unapata signal, hii imekuwa ni kubahatisha bahatisha na inachukua muda mwingi.
Nijuze tafadhali.

Mkuu swali lako ni zuri sana na kulijibu linataka kituo na nitatoa mchango wangu kwa kadiri ya upeo wangu...Kitu kikubwa na cha mwanzo unapofunga Dish ni lazima ujue south ni wapi na kama ulivyo toa mfano kama satelite unayotaka iko 36°W au 68.4°E utafika vipi?...ingawa positions zote mbili hakuna satelite yeyote sijui kwa sababu gani za kiufundi.

Labda tuanze namna ya kuipata south,kimsingi unatakiwa kutumia compass au kuna option ambayo nadhani ina wepesi kwa wengi,ikifika saa sita kamili mchana ukiwa juani kivuli chako kinakuwa south nahapo ndio 0° ..sasa hatua ya pili utapata vipi position tunayoitaka.

Hatua ya pili utatumia saa kuanzia saa sita kamili (12:00) kulia east-kushoto west na mshale wa kwanza wa dakika ni 6° kwa maana hiyo utakwenda na mtiririko huo(ukienda east au west) 6° 12° 18 24° 32° 38° 42° 48° na kundelea.
 
Mkuu Arselona nakupigia salute post # 137 ina kitu kidogo lakini kikubwa sana hasa unapofunga dish ukiwa Tanzania watu wengi hawajui position yetu muelekeo wa dish ni kama post # 137.Makosa mengine ni kama cable inapokatika,namna sahihi ya kuiunga ni kutumia.

Joint.jpg
Na wakati wa kufunga dish ni muhimu sana kutumi kitu madhubuti ili kuepuka dish kuondoka katika position yake kirahisi na kuna cable fake zikikaa baada ya muda zinakauka na ukijaribu kukunja zinakatika kama kijiti kikavu.
 
Mkuu swali lako ni zuri sana na kulijibu linataka kituo na nitatoa mchango wangu kwa kadiri ya upeo wangu...Kitu kikubwa na cha mwanzo unapofunga Dish ni lazima ujue south ni wapi na kama ulivyo toa mfano kama satelite unayotaka iko 36°W au 68.4°E utafika vipi?...ingawa positions zote mbili hakuna satelite yeyote sijui kwa sababu gani za kiufundi.

Labda tuanze namna ya kuipata south,kimsingi unatakiwa kutumia compass au kuna option ambayo nadhani ina wepesi kwa wengi,ikifika saa sita kamili mchana ukiwa juani kivuli chako kinakuwa south nahapo ndio 0° ..sasa hatua ya pili utapata vipi position tunayoitaka.

Hatua ya pili utatumia saa kuanzia saa sita kamili (12:00) kulia east-kushoto west na mshale wa kwanza wa dakika ni 6° kwa maana hiyo utakwenda na mtiririko huo(ukienda east au west) 6° 12° 18 24° 32° 38° 42° 48° na kundelea.
Ahsante mkuu, nimekusoma.
Ubarikiwe!!
 
Wakuu kwa karne hii tuliopo nikichukua kitu kama hiki kinaendana na wakati ama nitakua nimeingia chaka?????
ARISAT AR600 MPEG4 HD STRONG ARISAT.jpg
 
Arselona; Pole na majukumu ya masomo hapo Mzumbe. ila usichoke kutupa ujuzi kama ulivyotuhaidi. Bado Tupo pamoja kaka. Mimi ningependa kujua - urefu wa waya (Cable) kutoka kwenye dish hadi ilipo TV, zinatakiwa Mita ngapi?. Je hakuna effect yoyote Tv ikiwa Mbali sana na lilipo dishi?. je kuna faida yoyote ya kufunga LNB C-band mbili badala ya moja?.
 
Arselona; Pole na majukumu ya masomo hapo Mzumbe. ila usichoke kutupa ujuzi kama ulivyotuhaidi. Bado Tupo pamoja kaka. Mimi ningependa kujua - urefu wa waya (Cable) kutoka kwenye dish hadi ilipo TV, zinatakiwa Mita ngapi?. Je hakuna effect yoyote Tv ikiwa Mbali sana na lilipo dishi?. je kuna faida yoyote ya kufunga LNB C-band mbili badala ya moja?.
kaka nawapenda sana hasa ninyi watz wenzangu kwan upendo lazima uanzie nyumban halafu usambae kwa jiran. Kwa kweli kitabu kimeanza kwa kac sana ila naahid kuendelea na mada hasa ck za w/end.
 
Wakuu kwa karne hii tuliopo nikichukua kitu kama hiki kinaendana na wakati ama nitakua nimeingia chaka?????
ARISAT AR600 MPEG4 HD STRONGView attachment 69722
Kaka ricva yako ARISAT AR 600 - co mpeg4 bali ni dvbs-1 mpeg2 kama specs zinavyoonekana hapo chini
FREE TO AIR MPEG –2 (MP@ML)
, fully DVB
compliant PAL/NTSC
reception SCPC/MCPC
receivable for C/
Ku band satellites Symbol rate 2~45
MSPS Supports DiSEqC
1.0/1.2/USALS LNB control
13/17 v
switching, 0/22
kHz tone
switching, 0/12V
switching. Digital tuner with
loop through PLL synthesized
RF modulator TV system
compatible for
pal-b/g, d/k, I,
NTSC-m Video setting
4:3,16:9 with pan
& scan, letter box RS-232 data port
for software
upgrade & data
transfer 4 digit 7 segment
display 256 colors
graphics user
interface 8 menu
languages – Eng,
Arab, Per, Fre,
Rus, Tur, Hung,
Ind Program search
option auto,
blind, manual,
advanced,
network OSD with
transparency
level & banner
out time setting EPG now, next,
weekly,
extended 54 preprogram,
10 user editable
satellite & 4000
channel memory AGC/BER signal
bar in scanning
and info bar Channel editing -
lock, rename,
delete, move&
skip Channel sorting –
A~Z, Satellite, TP,
Free ~ CAS 4 programmable
timers & 16
favorite lists Video pause,
Video zoom Multi-picture
preview: 9
pictures Multi track audio
selection with
auto system
audio. Game enabled –
Tetris, Snake,
Sokoban
 
Shukruran mkuu Arselona kwa kutuelimisha Mungu akuzidishie elimu,fahamu na akupe afya njema. Amin
 
Kaka Nashukuru sana ntakua nimekosea nikaweka picha tofauti. ila hii kitu kuna mahali nimeikuta inauzwa ni MPEG4 DVBS2 HD. DVB-S2 QPSK-2 8PSK. Frequency range 950-2150 mhz. Mimi sina utaalam wa hivi vitu ndiyo naomba ushauri kwenu wataalam. Kwani hii naona bei yake naweza kuimudu inauzwa 110000. Kaka ukipata muda ipitie then nipe maoni yako. Kila la kheri ktk masomo yako.
 
Kaka Nashukuru sana ntakua nimekosea nikaweka picha tofauti. ila hii kitu kuna mahali nimeikuta inauzwa ni MPEG4 DVBS2 HD. DVB-S2 QPSK-2 8PSK. Frequency range 950-2150 mhz. Mimi sina utaalam wa hivi vitu ndiyo naomba ushauri kwenu wataalam. Kwani hii naona bei yake naweza kuimudu inauzwa 110000. Kaka ukipata muda ipitie then nipe maoni yako. Kila la kheri ktk masomo yako.

Kaka nimerudi tena kwenye suala la arisat ar600. Katika pitapita yangu nimeona kuna aina kuu mbili za arisat ar600 nazo ni arisat ar600 mpeg2 na arisat ar600 mpeg4 hd.Ni kweli kwamba arisat hii ar600 hd.jpg ni mpeg4 hd ila weekness yake ni kwamba haina smartcard slot na hairuhusu key editing. Nimeambatanisha pdf files mbili za specs za ar600 mpeg2 na ar600 mpeg4 hd
 

Attachments

  • ar600_hd.pdf
    58.6 KB · Views: 178
  • ar-600mpeg2.pdf
    60.3 KB · Views: 154
  • Thanks
Reactions: SIM
Kwa uelewa wangu kwa kipindi hiki tunatakiwa tuzingatie sifa muhimu za reziva wakati wa kwenda dukani kununua resiva.
Kwanza kabisa hakikisha kifaa ni halisi (original)
na sifa zinazotakiwa ni
1. DVB-S/S2
2.MPEG4/2
3.HDMI OUTPUT
4.FULL HD 1080i/p
5.BLIND SCAN
yaho ni machache tu ambayo ni muhimu kwa resiva inayofaa kwa sasa mkuu ARSELONA unaweza kuongezea kama yapo ya muhimu zaidi ambayo sikuyaweka hapa.
2.[size
 
  • Thanks
Reactions: SIM
Arselona; Pole na majukumu ya masomo hapo Mzumbe. ila usichoke kutupa ujuzi kama ulivyotuhaidi. Bado Tupo pamoja kaka. Mimi ningependa kujua - urefu wa waya (Cable) kutoka kwenye dish hadi ilipo TV, zinatakiwa Mita ngapi?. Je hakuna effect yoyote Tv ikiwa Mbali sana na lilipo dishi?. je kuna faida yoyote ya kufunga LNB C-band mbili badala ya moja?.

ndugu, kadri cable inavyokuwa ndefu zaidi ndivyo signal inavyo pungua. Inatakiwa urefu wa cable uwe kati ya 10-50mita. Aidha kadiri unavyoongeza lnb chaneli huongezeka pia kwani idadi ya lnbs ni sawa na idadi ya satellites ingawa wakati flan lnb moja inaweza kukamata sats zaid ya moja ili mradi 2 sats hizo ziko katika position moja au zinakaribiana,mfano eutelsat 36A/36B @36 degree east na amos @17degr east, eutelsat 16degr east.
 
ndugu, kadri cable inavyokuwa ndefu zaidi ndivyo signal inavyo pungua. Inatakiwa urefu wa cable uwe kati ya 10-50mita. Aidha kadiri unavyoongeza lnb chaneli huongezeka pia kwani idadi ya lnbs ni sawa na idadi ya satellites ingawa wakati flan lnb moja inaweza kukamata sats zaid ya moja ili mradi 2 sats hizo ziko katika position moja au zinakaribiana,mfano eutelsat 36A/36B @36 degree east na amos @17degr east, eutelsat 16degr east.

Shukrani mkuu, nimekusoma.
 
Back
Top Bottom