Mavella
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 459
- 75
Mavella, kama ungo wako upo tayari kwenye eutelsat 16a basi jaribu kuzungusha lnb yako clockwise/anticlockwise na blindscan receiver yako.Aidha check decoder yako kama ni mpeg4 na inasapoti dvb-s2 8psk kwani freq 10804 h 30000 ni dvb-s2 8psk. Hiyo freq 11024 h 3333 uliyoipata ni dvb-s1 mpeg2.Hata hivyo ninapata mshangao kwa vile frequence hii iko mbali sana na Tanzania,nihakikishie kama huishi Tanzania.Kwenye sat eutelsat 16a ni beams mbili tu ambayo Tanzania tunaweza kupata, Eutelsat 16A South East Africa na Eutelsat 16A Saharan Africa,ukitembelea hapa flysat.com/e16a-beam.php utaelewa nn namaanisha.
frequency hii ya tv madagaska ni subsaharan africa beam ukitembelea HAPA mimi niko songea na reciver yangu ni mpeg4 dvb-s1/2 labda size ya dish cm 60 kama inadhuru.