Mama alisema huna tabia kama hizo so ndio eeeeh😂😂😂😂😂Nilikua nipo Vidato kadhaa, kuna kabinti tulikua tunadate, siku moja tukaenda beach, nipo nambambia mwenyewe, mabusu ya hapa na pale, chezeya kiuno kwa sana asalaleee mdogo...
Kwa mama wa kinyaki wapojeMama yangu ni mnyakyusa, Dingi ndio aliekuwa ananitetea
Kwamba wanyakyusa hawateteiMama yangu ni mnyakyusa, Dingi ndio aliekuwa ananitetea
Vikitokea sasa hivi ulimwengu utakutetea worry out 😂😂😂Mh sina visanga nimekuwa mtoto mwema mpaka najitambua kwahiyo labda kitokee ivi karibuni na nina jitaidi ouwa makini
😂 Una bahati sana . Usije jaribu tena sawaNilipofumaniwa na mwanafunzi dahh mama ubarikiwe sana nakupenda sana mama yangu kipenzi
Vikitokea sasa hivi ulimwengu utakutetea worry out
😂😂😂😂 Hao hao .. au unaogopa..!?walimwengu wapi hao hawa walio mdanganya fei toto waka muacha njia panda uku wakimcheka
Wee jamaa wa utelezi wewe daah...🙌🙌🙌🙌Nilienda kumuomba Shangazi utelezi akaenda kunisemea kwa Baba...bimkubwa akaniokoa