impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,732
- 7,611
- Thread starter
- #301
Sikatai yakupasa ujue Mungu roho nafsi takatifu ndiyo maana walio mwona Mungu walimwona kwa moto;Mungu...alikuwepo kabla ya hivyo vitu ..yupo na atakuwepo...vyote vitapita....na uhai sio jua kwan kuna viumbe hai haviishi mwenye jua na vinasonga tu...