Ukweli ni kwamba Mbagala ina ardhi nzuri kuliko Bunju, Tegeta na Msasani

Status/hadhi
Acha waendelee na status
images (51).jpeg
 
Tatizo ni mipango miji
Yaani kutoa viwanja holela unauziwa kiangazi na masika nyumba inabadilika kuwa meli iliyopaki
Wa kuwalaumu ni hao wasiokuwa na maono unagawaje viwanja kwenye mikondo ya maji
Hata kama kuna mkondo na maji yanapita yaheshimiwe maana yana nguvu kutuzidi sio kila mahali ni kujenga tu

Wenzetu Holland ukipaona wao kwa ujenzi nawakubali duniani
Wameamua sehemu zingine kuweka maji na nyumba za kuelea hakuna magari badsla yake ni maboti yanapita juu ya maji
Kwa sisi ni ngumu kufikia huko maana nawaza kama ya Nigeria kwa uchafu
 
Tatizo ni mipango miji
Yaani kutoa viwanja holela unauziwa kiangazi na masika nyumba inabadilika kuwa meli iliyopaki
Wa kuwalaumu ni hao wasiokuwa na maono unagawaje viwanja kwenye mikondo ya maji
Hata kama kuna mkondo na maji yanapita yaheshimiwe maana yana nguvu kutuzidi sio kila mahali ni kujenga tu

Wenzetu Holland ukipaona wao kwa ujenzi nawakubali duniani
Wameamua sehemu zingine kuweka maji na nyumba za kuelea hakuna magari badsla yake ni maboti yanapita juu ya maji
Kwa sisi ni ngumu kufikia huko maana nawaza kama ya Nigeria kwa uchafu
Holland ni nchi ambayo karibu 30% iko chini ya usawa wa bahari ndio maana wanafanya hivyo
 
Back
Top Bottom