Ulamaa Hemed
Senior Member
- Sep 21, 2012
- 159
- 16
Nimewasiliana na wahusika wa HLSSF kuhusu utoaji wa majina ya watu waliopata mkopo kwenye taasisi yao wakasema watatoa majina ya waliopata mkopo baada ya October 30 watakapo funga dirisha la maombi,kwahiyo ukweli na uongo wao utajulikana baada ya October 30