Ukweli kuhusu udsm kuchafuliwa.... Mimi natubu.....

acha za kisenge charii!! kama we unaamini kuwa nyani ni bora kulikio kuwa binadam hapo sawa.....mlosoma zamani mlikuwa maboya tena ile kisoro!!....
 
binafsi nimemshangaa sana mleta mada unless aniambie ameajiriwa na udsm kama PRO kwa kazi ya kutengeneza good image of the institution mbali na hapo, ni ujinga wa hali ya juu kuona mtu mzima na akili zako unaleta mambo ya chuo gani kizuri, dogo maliza kwanza chuo then ukiweza kuparangana na maisha na kutoka kwenye umaskini kwa juhudi zako peke yako kama degree holder ndio utaheshimika na elimu yako itakua imekusaidia na sio maswala ya ushindani wa kipumbavu, idiot!
 
Kivipi ungefafanua kidogo ila ukumbuke sio kozi zinatolewa pale udsm, mf medicine, agriculture and relalted course, maswala ya Ardhi nk

hizo zote zilikuwa zina tolewa tatizo viongozi wetu wapenda takwimu tuna vyuo vingapi.....ndo maana mpaka wanafunzi waliomaliza mwaka jana muh2 wana demand wao ni ud graduate ndo mwamvuli walio ingia nao.....simply ypu can not compare ud with any local univerdity atleast tunaishukuru tcu now uspecial wa ud unapungua ingawa cut point zitazid kuilinda ud
 
kwanza naanza kwa kuwapongeza woote waliobahatika kuchaguliwa kujiunga vyuo vikuu nchini. Nawapongeza sana, lkn wengi bado wananung'unika kwa kuchaguliwa ama chuo asichokipenda ama kozi ambayo sio nzuri katika mstakabali wa soko la ajira.... Lkn mimi naamini matokeo mazuri ndio kila kitu bila kujali aina ya kozi unayosoma. Kazana tu....

Chuki dhidi ya udsm
mimi kama mdau wa masuala ya vyuo vikuu nikiwa nimelelewa na kukulia udsm nimekutana na mambo mengi ambayo ni njama za vyuo vingine kuiua udsm. Kwa vile saikolojia ya wanafunzi wengi wa tz wanataka wasome udsm, "najua unaweza kuguna lkn huo ndio ukweli"
.... Inapotokea kakosa nafasi udsm chuki dhidi ya udsm inaanzia hapo. Na kwa jinsi hiyo huyu mwanafunzi anakuwa ameathirika na hali ile. Kwa jinsi hiyo vyuo vingi nilivyopita inakubidi kwanza hata kabla hujaanza kufundisha uiponde udsm ovyoovyo ili wanafunzi wajiskie..... Jamani.... Haya maneno huwa hayatoki moyoni mwetu...... Wakati mwingine inafikia hatua wamiliki wa vyuo wanawaandalia maneno ya kuwapa moyo wanafunzi wao yakiwa yamejaa kejeli dhidi ya udsm. Kiukweli kitu hiki kimekuwa kikiniumiza kichwa sana lakini leo nimeona niweke wazi kuwa, hata tunaposimama na kuiponda udsm mbele zenu hua si kwa mapenzi ya moyo bali ni kwa matakwa ya wamiliki wa vyuo!

....hata ninavyomaliza kuandika udsm inapondwa live darasani ili kuwafurahisha wanafunzi wa chuo fulani.......dah

wao wanaoponda wamesoma wapi???na kwanini watu wote wasome UDSM????
 
kwanza naanza kwa kuwapongeza woote waliobahatika kuchaguliwa kujiunga vyuo vikuu nchini. Nawapongeza sana, lkn wengi bado wananung'unika kwa kuchaguliwa ama chuo asichokipenda ama kozi ambayo sio nzuri katika mstakabali wa soko la ajira.... Lkn mimi naamini matokeo mazuri ndio kila kitu bila kujali aina ya kozi unayosoma. Kazana tu....

Chuki dhidi ya udsm
mimi kama mdau wa masuala ya vyuo vikuu nikiwa nimelelewa na kukulia udsm nimekutana na mambo mengi ambayo ni njama za vyuo vingine kuiua udsm. Kwa vile saikolojia ya wanafunzi wengi wa tz wanataka wasome udsm, "najua unaweza kuguna lkn huo ndio ukweli"
.... Inapotokea kakosa nafasi udsm chuki dhidi ya udsm inaanzia hapo. Na kwa jinsi hiyo huyu mwanafunzi anakuwa ameathirika na hali ile. Kwa jinsi hiyo vyuo vingi nilivyopita inakubidi kwanza hata kabla hujaanza kufundisha uiponde udsm ovyoovyo ili wanafunzi wajiskie..... Jamani.... Haya maneno huwa hayatoki moyoni mwetu...... Wakati mwingine inafikia hatua wamiliki wa vyuo wanawaandalia maneno ya kuwapa moyo wanafunzi wao yakiwa yamejaa kejeli dhidi ya udsm. Kiukweli kitu hiki kimekuwa kikiniumiza kichwa sana lakini leo nimeona niweke wazi kuwa, hata tunaposimama na kuiponda udsm mbele zenu hua si kwa mapenzi ya moyo bali ni kwa matakwa ya wamiliki wa vyuo!

....hata ninavyomaliza kuandika udsm inapondwa live darasani ili kuwafurahisha wanafunzi wa chuo fulani.......dah

wao wanaoponda wamesoma wapi???na kwanini watu wote wasome UDSM????
 
hizo zote zilikuwa zina tolewa tatizo viongozi wetu wapenda takwimu tuna vyuo vingapi.....ndo maana mpaka wanafunzi waliomaliza mwaka jana muh2 wana demand wao ni ud graduate ndo mwamvuli walio ingia nao.....simply ypu can not compare ud with any local univerdity atleast tunaishukuru tcu now uspecial wa ud unapungua ingawa cut point zitazid kuilinda ud
Hapa kuna mambo yakitaalamu tunakiwa tuyajue kwanini huwa kunakuwa na university college then baadae zinakuwa university kamili, tuache ushabiki wa kisiasa wa kushabikia majina ya vyuo, pia ukumbuke tunachangamoto ya idadi ya watu sasa hatuwezi tukawa na chuo kikuuu kimoja tu kwa inchi kama tz yenyewe watu zaid ya 45M sasa hao wanaotaka lazima iwe udsm itakuwa hivyo mpk lini na huku idadi ya form 6 inaongezeka, kama iliwezeka kuanzishwa SUA 1984 ikitokea UDSM kama faculty ya AGRICULTURE kwanini isiwe na fani zingine.
 
Weweweweweeeeee ishia hapo hapo kwani udsm hakuna vilaza labda ulikuwa wewe....udsm ni miongoni mwa vyuo bora africa na duniani kwa ujumla... Thn hakuna chuo kingine kinachoweza kulinganishwa na udsm kwa tanzania...udsm ni levl ya capetown univrsty kijana....na kwa taarifa yako kwa rank ya vyuo bora afrika kwa 2012 udsm imekuwa ya 11 wakati vyuo vingine hata kwenye list havipo......upo hapo?
 
Back
Top Bottom