Ukweli kuhusu udsm kuchafuliwa.... Mimi natubu.....

mmteule

JF-Expert Member
Oct 3, 2011
5,495
12,800
kwanza naanza kwa kuwapongeza woote waliobahatika kuchaguliwa kujiunga vyuo vikuu nchini. Nawapongeza sana, lkn wengi bado wananung'unika kwa kuchaguliwa ama chuo asichokipenda ama kozi ambayo sio nzuri katika mstakabali wa soko la ajira.... Lkn mimi naamini matokeo mazuri ndio kila kitu bila kujali aina ya kozi unayosoma. Kazana tu....

Chuki dhidi ya udsm
mimi kama mdau wa masuala ya vyuo vikuu nikiwa nimelelewa na kukulia udsm nimekutana na mambo mengi ambayo ni njama za vyuo vingine kuiua udsm. Kwa vile saikolojia ya wanafunzi wengi wa tz wanataka wasome udsm, "najua unaweza kuguna lkn huo ndio ukweli"
.... Inapotokea kakosa nafasi udsm chuki dhidi ya udsm inaanzia hapo. Na kwa jinsi hiyo huyu mwanafunzi anakuwa ameathirika na hali ile. Kwa jinsi hiyo vyuo vingi nilivyopita inakubidi kwanza hata kabla hujaanza kufundisha uiponde udsm ovyoovyo ili wanafunzi wajiskie..... Jamani.... Haya maneno huwa hayatoki moyoni mwetu...... Wakati mwingine inafikia hatua wamiliki wa vyuo wanawaandalia maneno ya kuwapa moyo wanafunzi wao yakiwa yamejaa kejeli dhidi ya udsm. Kiukweli kitu hiki kimekuwa kikiniumiza kichwa sana lakini leo nimeona niweke wazi kuwa, hata tunaposimama na kuiponda udsm mbele zenu hua si kwa mapenzi ya moyo bali ni kwa matakwa ya wamiliki wa vyuo!

....hata ninavyomaliza kuandika udsm inapondwa live darasani ili kuwafurahisha wanafunzi wa chuo fulani.......dah
 
tatizo kubwa udsm ni kupata GPA, Vilaza wa shule za sekondari wamepata GPA kubwa sana vyuo vingine. UDSM Pass Tu
 
Udsm kinapondwa sana, lakini hata hapa ud wakufunzi wakiwa wanafundisha wanaponda sana vyuo vingine. Mi naona ni hali tu ya upinzani, kila chuo kinataka kuwa bora. UDSM stdent hapa
 
kwanza naanza kwa kuwapongeza woote waliobahatika kuchaguliwa kujiunga vyuo vikuu nchini. Nawapongeza sana, lkn wengi bado wananung'unika kwa kuchaguliwa ama chuo asichokipenda ama kozi ambayo sio nzuri katika mstakabali wa soko la ajira.... Lkn mimi naamini matokeo mazuri ndio kila kitu bila kujali aina ya kozi unayosoma. Kazana tu....

Chuki dhidi ya udsm
mimi kama mdau wa masuala ya vyuo vikuu nikiwa nimelelewa na kukulia udsm nimekutana na mambo mengi ambayo ni njama za vyuo vingine kuiua udsm. Kwa vile saikolojia ya wanafunzi wengi wa tz wanataka wasome udsm, "najua unaweza kuguna lkn huo ndio ukweli"
.... Inapotokea kakosa nafasi udsm chuki dhidi ya udsm inaanzia hapo. Na kwa jinsi hiyo huyu mwanafunzi anakuwa ameathirika na hali ile. Kwa jinsi hiyo vyuo vingi nilivyopita inakubidi kwanza hata kabla hujaanza kufundisha uiponde udsm ovyoovyo ili wanafunzi wajiskie..... Jamani.... Haya maneno huwa hayatoki moyoni mwetu...... Wakati mwingine inafikia hatua wamiliki wa vyuo wanawaandalia maneno ya kuwapa moyo wanafunzi wao yakiwa yamejaa kejeli dhidi ya udsm. Kiukweli kitu hiki kimekuwa kikiniumiza kichwa sana lakini leo nimeona niweke wazi kuwa, hata tunaposimama na kuiponda udsm mbele zenu hua si kwa mapenzi ya moyo bali ni kwa matakwa ya wamiliki wa vyuo!

....hata ninavyomaliza kuandika udsm inapondwa live darasani ili kuwafurahisha wanafunzi wa chuo fulani.......dah

Hivi bado mnadesa na ku-recycle mitahani kama wakati ule nasoma hapo?
 
Hoja dhaifu kutoka kwa mtu dhaifu,kazi kwelikweli. vp ud hawawezi kupingwa? mbona kuna madudu mengi sana yanafanywa pale ud! kuna wa tz waliosoma nje ya nchi na wanataka vitu vizuri kufanya na vyuo vya hapa nchini
 
Ama kweli wewe mtoa mada hii ni ***** mkubwa sanaaaaa,mwenyewe nimesoma hapo udsm.HUSIDANGANYE MADOGO UDSM ni zamani jomba,wewe unafikiri tunasahau mambo ya pale,kinachosemwa ni kweli wala husipinge UDSM mmebaki vilaza wengi ndo mana unaongea ugolo tu,ANGALIZO:Mwk 2011 wana Coet walifukuzwa kisa kumgomea JAMSON (naifadhi 2nd name) kwa kosa la kuangalizia mtihani kwny chumba cha mtihani yani aliingia na karatasi ya majibu,so wanafunzi wale wakawa wanatetea ujinga na kusupport ujinga huo ili utamaduni wao uendelee.....so kwani kusema hili ni kukikandia chuo au ndo ukweli wenyewe huu....DOGO TOA UBWEGE SIKU HIZI MMEBAKI VILAZA BALE.
 
Nchi hii ukizaliwa familia maskini ndo uhuzunike sana,, but ukizaliwa familia bora furahia sana maana vyuo vya ndani havitakuhusu sana utawaachia wenyewe wabishane nani bora we unaenda zako alabama then unarudi nchini kuwakimbiza kama kelvin twissa alivyofanya...

Hata usome chuo gani nchi hii kama ujaenda kuosha elimu yako majuu kwenye world class university jijue haujaelimika.. Maana elimu ya bongo unafaulu hata kama hujui kusoma wala kuandika..
 
hv bado kuna wa2 wanadiscus kusoma ud? Na walosoma havard wasemeje?peleken ukilaza wenu huko !!!
 
Ka this is an endless debate! nakiri kabisa sijasoma ud, ila sijui kwa nini watu mnataka kutuaminisha kwamba UD ni kma chuo kilicho mbinguni kinachohudumuiwa na malaika?

Kwanza naomba jiulize ni sekta gani hasa nchi hii ambayo inashikiliwa hasa na serikali haijayumba, na je udsm imepona hasa kuwapoliticized?

Je Udsm ya miaka ile mim na wewe hatupo duniani ndo hii ya leo?

Kuna baadhi ya waalimu kutoka Ud wamekwenda Udom, wengine wanafundisha parttime vyuo vingine je kama waalimu ni walewale kwa nini hata hao wanafunzi wasiobora hata kwa masomo machache wanayofundishwa nao?

hali ya shule zetu toka chekechea hadi unaingia ud ikoje, hadi iwatofautishe sana wa Ud na vyuo vingine?

Je, mbona wengine ni marafiki zetu wamesoma ud lakin ni wakawaida sometimes wakochin?

mwisho mi binafsi naamin kwamba chuo kikuu pamoja na msaada wa mwalimu na mazingira mengine nguvu ya mwanafunzi ni nyenzo muhimu sana, jiulize unasoma vitabu kwa kiwango gani, utaratibu ambao leo umepotea kabisa.
 
Nchi hii ukizaliwa familia maskini ndo uhuzunike sana,, but ukizaliwa familia bora furahia sana maana vyuo vya ndani havitakuhusu sana utawaachia wenyewe wabishane nani bora we unaenda zako alabama then unarudi nchini kuwakimbiza kama kelvin twissa alivyofanya...

Hata usome chuo gani nchi hii kama ujaenda kuosha elimu yako majuu kwenye world class university jijue haujaelimika.. Maana elimu ya bongo unafaulu hata kama hujui kusoma wala kuandika..

Waeleze mkatakiu
 
hii ndo shida jamii kwa sasa badala ya kudiscus mazingira gani yanadetamine ubora wa elimu wa taasisi husika wanafanya comparison ambazo hazina tija kwa yeyote,hebu tuhame huko na tuelekee kwenye aspects za msingi zaidi. Kwamfano badala ya kuengelea kuhusu chuo fulani kila siku dhidi ya vyuo vingine tujadili mambo muhimu kwenye vyuo sio tu yanayomuezesha mtu kufaulu zaid bali kuhimili changamoto za kimaisha kwa sasa hasa swala la AJIRA.
 
Kumbe bado tuna watu wenye mawazo ya kumbanisha vyuo pole sana kama mmechaguliwa vyuo kufuta majina sio kwenda kusoma na kutafakari namna ya kupambana na changamoto zinazo tukabiri vijana,najua mtakuja elewa baada ya kumaliza hivyo vyuo vyenu mnavyo tukuza na kuanza kuangaika na Bahasha mtaani walio soma cirtificate chumaulete college wako wanakula mshahara!
 
kwanza naanza kwa kuwapongeza woote waliobahatika kuchaguliwa kujiunga vyuo vikuu nchini. Nawapongeza sana, lkn wengi bado wananung'unika kwa kuchaguliwa ama chuo asichokipenda ama kozi ambayo sio nzuri katika mstakabali wa soko la ajira.... Lkn mimi naamini matokeo mazuri ndio kila kitu bila kujali aina ya kozi unayosoma. Kazana tu....

Chuki dhidi ya udsm
mimi kama mdau wa masuala ya vyuo vikuu nikiwa nimelelewa na kukulia udsm nimekutana na mambo mengi ambayo ni njama za vyuo vingine kuiua udsm. Kwa vile saikolojia ya wanafunzi wengi wa tz wanataka wasome udsm, "najua unaweza kuguna lkn huo ndio ukweli"
.... Inapotokea kakosa nafasi udsm chuki dhidi ya udsm inaanzia hapo. Na kwa jinsi hiyo huyu mwanafunzi anakuwa ameathirika na hali ile. Kwa jinsi hiyo vyuo vingi nilivyopita inakubidi kwanza hata kabla hujaanza kufundisha uiponde udsm ovyoovyo ili wanafunzi wajiskie..... Jamani.... Haya maneno huwa hayatoki moyoni mwetu...... Wakati mwingine inafikia hatua wamiliki wa vyuo wanawaandalia maneno ya kuwapa moyo wanafunzi wao yakiwa yamejaa kejeli dhidi ya udsm. Kiukweli kitu hiki kimekuwa kikiniumiza kichwa sana lakini leo nimeona niweke wazi kuwa, hata tunaposimama na kuiponda udsm mbele zenu hua si kwa mapenzi ya moyo bali ni kwa matakwa ya wamiliki wa vyuo!

....hata ninavyomaliza kuandika udsm inapondwa live darasani ili kuwafurahisha wanafunzi wa chuo fulani.......dah
Katika kupitapita nimekutana na haya maneno nahisi nawe yatakusaidia ili tuweze kuelewa uzuri wa chuo unapatikanaje yaani nn kinafanyika katika ku rank universities duniani haya ni mambo yakisomi lazima yaende kwa data tusiweke siasa, pia unaweza tafuta criteria zaidi then tuzitazame chuo gani kinaongoza
This classification, which we have developed, is consistent with the Berlin Principles on university ranking developed by the International Rankings Expert Group, which calls for maximum clarity about the measures employed. Its focus is on three main characteristics of a university: size, scope, and research intensiveness. We first divide the field into small, medium and large universities, depending on how many students they have, with a threshold of 5,000 for a medium-sized institution and 12,000 for a large one.
Next is the academic scope of each institution. We regard a "fully comprehensive" university as being one that is active in all five areas of scholarship – science, technology, biomedicine, social sciences and the arts and humanities – and which has a medical school. Institutions that are active in all five fields, but which lack a medical school, we term "comprehensive," while we use the terms "focused" and "specialist" for those that work in fewer categories.
Our final criterion is the amount of research a university has produced in the past five years as identified by our colleagues at Scopus . An institution's rank here depends on the number of scholarly areas in which it is active and is not an absolute threshold.
What does this analysis show? The big beasts of the jungle are the A1 universities, which are big, research-intensive and active in all areas. They also have medical schools, which generate more cash and more citations than any other university department. And it turns out that 14 of our top 20 universities are A1s, as are 113 of our top 200.
 
Ujinga huu sijui utaisha lini hapa tanzania. Badala ya kujadili chuo gani kinatoa wahitimu wenye ujuzi mzuri, yaani wahitimu wenye uwezo wa kujiajiri na pia kuajiri watu wengine, watu tena wasomi wanajadili chuo gani kizuri, mambo ya gpa, kudesa, nk, vitu ambavyo havina tija wala mchango wowote kwa maendeleo ya taifa letu. Ukiwa umesoma udsm, udom, teku, saut, etc au una gpa nzuri itakusaidia nini kama kichwani huna ujuzi? Huku mtaani kunahitaji ujuzi alionao mtu na uzoefu. Ndio maana vijana wengi pamoja na gpa nzuri za huko walikosoma na vyuo vizuri mnavyosema wanapigika mtaani hawajui hata afanye nini na wengine wameishia kuajiliwa na wenye elimu ndogo kuliko huyo graduate. Mitazamo kama hii inaonyesha kila mwanachuo anajiandaa kuajiriwa. Waajiri wengi wanataka tija kazini na sio gpa au chuo ulichosoma.

Sisemi kwamba suala kuwa na gpa nzuri halifai, lakini gpa iendane na ujuzi wako kichwani mwako vinginevyo ukimaliza chuo huku ukiwaza kuwa chuo ulichosoma na gpa uliyopta ndiyo vitakutoa kimaisha basi utaishia kufrustrate.
 
Wanaoleta maada kama hizi bila shaka ni vilaza wa kutupwa wanaofikiri kusoma chuo kikuu ni bonge la dili. Kama sivyo basi nahisi labda ni first year ambao wamatoka form six juzijuzi hivyo hawahujui chochote zaidi ya jina la chuo. Tafiti zinaonyesha matajiri, watu wenye maisha mazuri, na watu wenye michango mikubwa kwa maendeleo ya nchi ni wale wenye uwezo wa kutumia akili zao kupambana na mazingira ili kujiongezea kipato na kuondokana na umasikini. Ni vema vijana mkawa na mtazamo huo na siyo kuwaza gpa na chuo unachosoma.
 
Udsm is the best university in tz, let the truth stand jamani

Ni kweli mzee ila hizi debate za vyuo bora tuachane nazo tuangalie chuo gani kinatoa wahitimu bora I mean wahitimu ambao wanaweza kukabiliana na changamoto za mtaani wakatoka kimaisha.Karne hii si ya kuonyesha umepata GPA ya ngapi tunachotakiwa kumpima mhitimu wa chuo kikuu kwa jinsi anavyokabiriana na maisha yake baada ya kuhitimu elimu yake.
 
Ama kweli wewe mtoa mada hii ni ***** mkubwa sanaaaaa,mwenyewe nimesoma hapo udsm.HUSIDANGANYE MADOGO UDSM ni zamani jomba,wewe unafikiri tunasahau mambo ya pale,kinachosemwa ni kweli wala husipinge UDSM mmebaki vilaza wengi ndo mana unaongea ugolo tu,ANGALIZO:Mwk 2011 wana Coet walifukuzwa kisa kumgomea JAMSON (naifadhi 2nd name) kwa kosa la kuangalizia mtihani kwny chumba cha mtihani yani aliingia na karatasi ya majibu,so wanafunzi wale wakawa wanatetea ujinga na kusupport ujinga huo ili utamaduni wao uendelee.....so kwani kusema hili ni kukikandia chuo au ndo ukweli wenyewe huu....DOGO TOA UBWEGE SIKU HIZI MMEBAKI VILAZA BALE.

nina wasi wasi na kiswahili chako,huna U una HU,nway ulicho sema ni kweli UDSM saivi wamebaki vilaza wanaodhani kila kitu ni kugoma tuu yani,kama suala la huyo wa coet asa hapo walivo goma c ni ujinga ule?ndo mana walirudishwa wote
 
Back
Top Bottom