ASKOFU MSAIDIZI
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 209
- 23
Nimefuatilia makoa mkuu ya CUF nikagundua kuwa hali ni tete kwani kuna makundi Moja ni la Hamadi Rashid na Jingine ni la Maalim Seif Na kwamba makosa aliyofanya Seifu yamewagusa wengi na hapana Shaka kwamba ameanza kuyarekebisha!!!
Moja ya Mambo ambayo yamekuwa kero kubwa ni suala la pesa ambapo Mgao wa pesa za operations za Makao makuu zilikuwa hazipo Wakati kule Pemba wanatanua kwa kutumia fedha za serikali.
Julius Mtatilo aliwahi kuongea na gazeti la Sema Usikike akaelezea ukata wa fedha ambapo analazimika kutumia fedha zake Mwenyewe kwa ajili ya shughuri za Chama !!!
Mtatilo aliwahi kulalamika kwamba Ruzuku imechelewa lakini ukweli ni kwamba hata Ruzuku hiyo ilipotolewa ilikuwa haipelekwi Wilayani kama sheria inavyotaka!!
Mtu wa karibu na ofisi ya Uhasibu anasema Juzi tu baada ya Hamadi Rashidi kuelezea nia ya kugombea nafasi ya Katibu Mkuu ndipo Maalimu Seif akaamuru pesa zipelekwe kwenye Wilaya 1oo na kila Wilaya imepelekewa 300,000/= katika awamu ya kwanza na Fungu lililotengwa ni Tshs 180m kwa miezi 6.
Baadhi ya maofisa wa makao Makuu CUF wanalalamika kuwa ni kwa nini fedha zote hizo zilikuwa hazipelekwi mpaka watu walalamike??
Mjumbe Mmoja wa Baraza kuu kutoka Pemba anasema Maalimu Seif anatafuta njia za kumufukuza Hamad Rashid na jana aliitisha kikao cha siri Pemba na kufanya njama za kuandaa kashifa za Hamad Rashid lakini Watu waliokinyume na sef Pemba wakafichua uovu huo!!!
Mpaka sasa Cuf kimekuwa chama cha kuwindana!!!
Maalimu hataki Uchaguzi ufanyike na sasa anataka atoe urithi jambo ambalo halikubaliki!!!
Moja ya Mambo ambayo yamekuwa kero kubwa ni suala la pesa ambapo Mgao wa pesa za operations za Makao makuu zilikuwa hazipo Wakati kule Pemba wanatanua kwa kutumia fedha za serikali.
Julius Mtatilo aliwahi kuongea na gazeti la Sema Usikike akaelezea ukata wa fedha ambapo analazimika kutumia fedha zake Mwenyewe kwa ajili ya shughuri za Chama !!!
Mtatilo aliwahi kulalamika kwamba Ruzuku imechelewa lakini ukweli ni kwamba hata Ruzuku hiyo ilipotolewa ilikuwa haipelekwi Wilayani kama sheria inavyotaka!!
Mtu wa karibu na ofisi ya Uhasibu anasema Juzi tu baada ya Hamadi Rashidi kuelezea nia ya kugombea nafasi ya Katibu Mkuu ndipo Maalimu Seif akaamuru pesa zipelekwe kwenye Wilaya 1oo na kila Wilaya imepelekewa 300,000/= katika awamu ya kwanza na Fungu lililotengwa ni Tshs 180m kwa miezi 6.
Baadhi ya maofisa wa makao Makuu CUF wanalalamika kuwa ni kwa nini fedha zote hizo zilikuwa hazipelekwi mpaka watu walalamike??
Mjumbe Mmoja wa Baraza kuu kutoka Pemba anasema Maalimu Seif anatafuta njia za kumufukuza Hamad Rashid na jana aliitisha kikao cha siri Pemba na kufanya njama za kuandaa kashifa za Hamad Rashid lakini Watu waliokinyume na sef Pemba wakafichua uovu huo!!!
Mpaka sasa Cuf kimekuwa chama cha kuwindana!!!
Maalimu hataki Uchaguzi ufanyike na sasa anataka atoe urithi jambo ambalo halikubaliki!!!