johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,997
- 142,016
Mzee Hamad Rashid wa ADC amewataka wananchi kukemea maneno ya Udini na Ukabila ya Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe
Hamad ameonya kauli za Mbowe zisiachwe ziendelee zitatugawa
Source: Bongo 5
-----
Hamad ameonya kauli za Mbowe zisiachwe ziendelee zitatugawa
Source: Bongo 5
-----