"Ukweli" kuhusu kifo cha RPC Barlow ni huu hapa...

Kama jina langu lilivyo ndivo ninavyotaka, kudakia mambo ya kijiweni tunapojadili mambo mazito yatokeayo katika jamii ni hatari ya kufunikafunika ukweli ulijificha nyuma ya pazia, na kumbuka wasanii wanaoongoza nchi hii hutumia mwanya wa hoja dhaifu kujenga mambo yao, lakini huwa sipendi mambo ya vijiweni kuyaweka ndiyo msingi wa majadiliano, kwa sababu hakuna mwanafamilia hata mmoja kutoka katika hawa wawili kamanda na mama aliyemsindikiza kulalamikia wanayotunishiana misuli hapa JF. Bara tujadili mazingira na makandokando ya kifo hicho tukihusianisha na matukio kadhaa ya mfululizo tangu Dr. Ulimboka na hadi tulipo sasa.

Tusipoangalia tutachelewa akili kutusahaulisha mambo muhimu na kuhangaika kujadili mambo ya ngoni yasiyohakikiwa. Mengi wanayojadili hapa ni ya kufikirika ambayo hayaja hakikiwa.

Kuna uwezakano marehemu alikuwa na ndugu yake wa kike na siyo kama story inavyoeleza hapa.
 
Jamani hawa so called majambazi hawajuhi Said Mwema anakaa wapi. Make alikuwa anapaswa afa yeye kwanza kutoa upuuzi ambao ameuleta katika jeshi la polisi
 
Serikali si ilianzisha mtindo huu! Unayemchukia, mtindo ni kumuondoa, Basi! Tumesema mara nyingi kwamba wanapanda mbegu mbovu wao wanadhani wana ngozi ya steel. Wengine nao wameiga.
 
Kama walitumwa kummaliza Barlow basi aliyewatuma hakuwapa maelezo/kazi ya kummaliza na huyo dada aliyekuwa naye.

nadhani hii ni information ya uhakika... kuhusu polisi jamii wapo wengi sana mwanza..tena inaonekana vijana hao walitumia bunduki ya kamanda na kummaliza papo papo....ila ninachojiuliza kama kweli walitumwa why walimuacha huyo jike hai??[/QUOTE]
 
Comment zingine zinatia kinyaa.kama nimekometi vibaya mungu anisamehe.na leo nimekaa jf masaa 12.sielewi hata huko dunia ingine mambo yameenda vipi.
Sijui uturuki wameshakinusha huko syria.ngoja nimove site za mbali.OVER AND OUT.
 
Tangu kuuwawa kwa Mwangosi na polisi, hakuna taarifa yoyote ya polisi inayo aminika!

Tehe tehe!
 
huyo mwenye mke atuambie kama marehemu alikuwa anamsaidia then tuwaombe hao polisi jamii watuambie sababu ya kumwua.
 
wauaji walikua polisi jamii?kwahiyo siku hizi sio tena ulinzi shirikishi ila ni mauaji shirikishi!na huku kusindikizana huku..mmh!
 
ipo kazi, eh endeleeni kuleta mambo wadau ili mjadala unoge, maaaaana hata mimi nilikuwa na wazo fulani kama hilo > 1. Gari binafsi, bila ulinzi tena usiku ule? > 2. Wako wawili ndani ya gari-harusi/kikao cha harusi unakwenda bila ndugu wengine i.e mke? > kwanini alijiamini kiasi cha kuongea na wale wauaji usiku ule? ipo kazi!
 
Hivi mtu akipata cheo ndiyo idhini ya kutembea na mke wa mtu?Cheo ni dhamana hivi huyu RPC alidhani kuwa alikuwa mjanja. JF lete ukweli wote hapa watajijua na CCM yao!

aaah! Jamani waachwe vp na ccm yao, mbona padri Slaa naye kaiba mke wa m2 au hili kwake ni sawa jamani??
 
1. nani aliona wakati kamanda anapiga redio call?

2. nani alisiki hayo mazungumzo ya kamanda ana hao jamaa(kamanda polisi)?



hii kitu ilisukuwa na ikasukika na kamanda akapita mule mule wakamtoa roho....''the law of karma'' imekuwa applied.....
 
Nashangaa mpaka sasa ivi rais/serikali haijatoa salam za rambirambi kwa mkuu wa polisi nchini ili kubalance stori ya Mwangosi. Sina kumbukumbu kama chama ya waandishi wa habari walipewa salamu za rambirambi.

Halafu kamanda Mwema, ile taarifa uliyoitoa leo, kulikua kunaulazima wa kuisoma kweli?! si ungeimeza kichwani afu ukaja bila karatasi na kuipaste?
 
RPC unanyanyua redio call kirahi rahisi na kuita vijana wa kazi?? amesomea wapi huyu kamanda?...hoyo ni inside job
 
Said mwema alivyotoa taarifa yake mapema mno nikahisi kuna walakini.
Kuna mengi yatafuatia.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Hapo umewaza kama nilivyowaza. Najiuliza je Kamanda alikuwa tishio kwa Bosi?? Alitegemewa kuchukua k....... siendi mbali.
 
Tatizo ni kwamba huyo mama anaisaidia polisi ambayo mwisho wa siku itaficha ukweli na kusema yale yawapendezayo. Ila hiyo ndio picha halisi ya maadili ya viongozi wetu.

lazima kuna underlying issues behind that death,hao majambazi walichukua nini?walijuaje kama RPC atakuwepo eneo hilo by that time kama sio alikua anafuatilia mda mrefu?ila kama kawaida report ya kifo chake kutoka jeshi la polisi lazima ifiche ukweli ili kulinda heshima ya jeshi hilo,ila inavyoonekana hapo ni matumizi mabaya ya madaraka ie kutumia cheo chake kuchukua mke wa mtu though iyo tu haijustify the kind of punishment awarded to him.ni maoni yangu jamani.
 
Kama maneno haya ni kweli basi inazidi kudhihirisha jinsi jamii yetu ilivyopota kimaadili. Iwapo mkuu wa polisi anakuwa anatembea na mke wa mtu si ajabu kabisa kuwa anaweza kumbabikizia kesi na kumfunga mahabusu mme wa wa huyu mwanamke kusudi yeye apate muda zaidi wa kuendelea na ufuska kinyume cha maadili ya kazi yake. Polisi wetu, na maafisa wengi wamezidi kuwa wanatumia madaraka yao kinyume cha maadili kwa ajili ya starehe zao binafsi.
 
Back
Top Bottom