UKUTA wakosa waandamanaji

Igwe wana JF

Kuna sintofahamu kuwa Mbowe ,Mwenyekiti wa CHADEMA ambaye hasa ndiye anatakiwa kuwa kinara kuelekea UKUTA, jana hakuonekana mbele ya waandishi wa habari wakati Tundu analalamika.

Haikupendeza na haitapendeka kukaimisha hoja hii kwa Lissu kwani yeye ndiye kiongozi anayepaswa kubeba maono ya chama. Itakuwa ni muendelezo wake kupotoea hasa pale amabapo anapokuwa ametangaza operesheni tata dhidi ya makatazo ya Dola.

Mbowe yuko wapi?...haonekani ufipa wala mikocheni!

wenye taarifa juu ya kamanda huyu ambaye huenda akakimbia vita tuambieni.
 
Juzi kaoneka airport Kilimanjaro akienda kufanya ziara za nje ya nchi. Inajulikana atarudi kabla ya vikao vya bunge kuanza.
 
Amekwenda kutafuta fedha kutoka kwa wafadhili wa chama chake ili azimege nyingine zitumike kulipia pango la bilicanas maana wakati wowote kuanzia wiki ijayo atatimuliwa kwenye nyumba hiyo ya NHC kwa vile ni mmoja wa wadaiwa sugu.
 
Nyie imani yenu ni ya hivyo sana. KWA kuwa mmezoea kukatabkitu kidogo kwenye kila deal mnaanini na cdm nao ni lazima wakate? Hela za kodi za uvccm zimeishia wapi? Green finance meremeta escrow mmezimalizaje? Logme in nayo vipi? Msipandikize mawazo yenu kwa wrngine
 
Apo ulipo hujui ata baba ako alipo kazi kufuatilia baba za watu..take care kuna jela na gest
 
Hii study yako imezingatia eneo? Ukubwa wa eneo la watu 50K kisha wajikusanye wote kwa lengo moja muda mmoja? Napata shaka...ila kuna kitu wataalam wa crowd control huwa wana apply kile unalivunja kundi kupunguza nguvu sijui watakikumbuka maana hapo ndio marungu ya "mama mkanye mwanao" huwa yanakuwa kazini kunapigo linaitwa kinetic energy strike na 45 degree usiombe likatua maungoni.
Pale nguvu ya umma inapotamalaki, hakuna cha crowd control expertise wala cha mama mkanye mwanao! Btw, nimesema watu 50K au hesabu zangu zinataja 20% ya 50K?!
 
Pale nguvu ya umma inapotamalaki, hakuna cha crowd control expertise wala cha mama mkanye mwanao! Btw, nimesema watu 50K au hesabu zangu zinataja 20% ya 50K?!
Kwa nini kuandikia mate?
Tarehe 1 Sept si inakuja, ni weye na mguu wako!
 
Rais wetu anatudanganya kuwa anataka kusaidia watu wake. Nadhani anataka kujisaidia mwenyewe. Ni kwa nini ana woga mwingi sana?
 
Chadema mnakumbuka wakati wa Bunge la Katiba mlisusia Bunge hilo kwa madai Katiba inayojadiliwa ili ipitishwe ni ya CCM ambayo ni "mbovu na haifai" hadi mkaanzisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

Chakushangaza leo hii mnakuja na Umoja wa Kupinga Udikteta (UKUTA) ambao unatafsiriwa kama kupinga uvunjwaji wa ile katiba "mbovu na haifai" ambayo mliikataa. Sasa hapa mbona kama mnajichanganya wenyewe? Kama mliikataa katiba na leo mnaitetea, vipi hamuoni mnakula matapishi? Hamuoni kama Raisi anafuata ile katiba ya Warioba na wanaopaswa kulalamika ni wale waliopitisha katiba inayotumika sasa?

Think well....
 
Back
Top Bottom